Hassan Othman Hassanoo mikononi mwa polisi

Hassan Othman Hassanoo mikononi mwa polisi

Kelele za mlango azimzuhi mwenye nyumba kulala usingizi mnono,I hope kwa mikakati ya kibongo kesho kutwa atakuwa kitaani tena walioona kuwa anasoo limemkaba koo itakuwa soni kwao, kazi kwao Frends of simba.Milioni mia nne nini bwana?
 
invisibble: Point of collection hasanol c makamu mwenyekiti wa simba..makamu simba ni godfrey nyange kaburu..hasanol mwenyekiti chama cha soka pwani (corefa).
hapo kwenye red, kidhungu biiiiiiiiiiiiiiiiiig problem, ni correction
 
Invisible, the Hassanoo I know used to be a wise guy, and he's smart.
Anafanya biashara ya 'scraps' - metal, plastics ect.
Traed on this information kabla hatujaambiwa JF wambeya.
Behind the Scene: Huyu jamaa kwao ni Magomeni mtaa wa Idrissa, lakini usiku kucha yuko KKoo au kwenye yard zake za vyuma chakavu and alwyas has his silenced pistol on a ready.
Hasanoo na kaka yake mbunge wa Mafia pia wanafanya biashara ya nyara za taifa kupitia mradi wao wa kufuga mamba n.k.
 
Kaka yangu Mkandara kwani jina lako ni la Vijana wa Mjini? kumbuka kaka Dito alisha sema kuna wengine wameingia mjini hata kula chapati hawajui? na Mwl JK kwenye hotuba yake ya 1995 kama alivyo zungumzia kuhusu ubaguzi, alisema mtakuja kuwatoa wapemba , mta choma maduka yao baadae mta sema ah na ya wachagaa je! Darisalama (dar es salaam ) kuna wazawa bwana! mwisho wa kunuku.
hapana ndugu yangu usinielewe vibaya kwani Kanisani wanaingia Wakristo haina maana wengine hawaruhusiwi lakini kanisa likijaa baniani linakuwa sii kanisa tena! - Wachagga na mpira wapi na wapi! Mengine tuyakubali jamani hakuna ubaguzi...Haaa! haa! haaa!
 
..nchi hii imeharibika sana, watu wengi wanaishi na kuendesha maisha yao kisanii tu!!
 
Wakuu tulipoambiwa Dar tunaishi kimjini mjini hamkutaka.

Hapa Dar watu wanaishi kimjini mjini utamkuta ambaye mlipoteana kwa muda maisha yake yako juu ukimuuliza mwenzangu unafanya nini atakuambia aaah nafanya SHUGHULI ZANGU!! Hizo shughuli zangu ndio hizo sasa. Wengine wanalitumia vibaya neno ujasiriamali. Jitu jizi ukiliuliza linasema aaah siku hizi mimi mjasiliamali.

Ni wakati muafaka kuwatumia TRA kuwachunguza hawa wajasiriamali kama wanalipa kodi.
 
Siyo viongozi wa michezo tu, hata wa kisiasa. Jamii ina wasiwasi sana na wanasiasa kama Mbunge Lema kuotokana na historia yake ya kihalifu kabla hajawa Mbunge.

Ni bora ujue kuwa huyu ni mchawi na ukubaliane na yeye alivyo kuliko kukubali kuongozwa na mnafiki afungaye mikono na kusogea madhabahuni kwenye kivuli ca Mungu kumbe ni mchawi mkubwa. Ukisema Lema historia yake alikuwa mhalifu kabla haileti maana. Je ulijua kuwa hao wanaokuongoza ni wevi!
 
Wacha wakamtie adabu, hawa waasia wametuibia sana.
 
Hasanoo na kaka yake mbunge wa Mafia pia wanafanya biashara ya nyara za taifa kupitia mradi wao wa kufuga mamba n.k.
<br />
<br />acha ujinga wako tangu lini mamba wakawa nyara za serikali ?
 
hapana ndugu yangu usinielewe vibaya kwani Kanisani wanaingia Wakristo haina maana wengine hawaruhusiwi lakini kanisa likijaa baniani linakuwa sii kanisa tena! - Wachagga na mpira wapi na wapi! Mengine tuyakubali jamani hakuna ubaguzi...Haaa! haa! haaa!

...mashindano ya jumuiya ya madola tulishuhudia Wahindi wakikimbia mbio za mita 100 na marathon!!! yawezekana mkuu. 🙂
 
Back
Top Bottom