Shukran sana Kwa your inputKama hoja yako ni ulinganifu kati ya Hassan na Hussein tafadhali jikite hapo, utupe sifa zao na tofauti zao... strength and weakness.
Ila unavyoanza kuokoteza na watoto wengine kwa vile tu ni wa viongozi, unaleta utani!
Katika hao wa JK wote hamna kitu pale, hadi wa JK Nchonga hakuna kitu... hata hao wa Karume na wengine waliopata nafasi hakuna kitu cha ajabu/ziada.
Wanapata nafasi kwa urahisi kupitia historia ya familia zao, lakini wanachofanya ‘kama viongozi’ ni kile kile tu ambacho hata mimi/wewe unaweza kufanya!
Sasa hizo kuandaliwa au ‘kurithi’ kunawapa uspesheli gani.?
Kiongozi bora ni yule mwenye sifa za uongozi, na ameonesha uwezo huo... bila kujali alizaliwa wapi na nani!
Ncha Kali.
Huwajui Wazanzibar mkuu,mafisadi pia wapo Tena wengi tuWazanzibar hawanga sifa ya ufisadi
Yaani KUMSIKIA MTU AKIONGEA vs mtu ambaye uadilifu wake umeshapimwa kwa kupewa madaraka kwa miaka kadhaa na asitende haya marushwa rushwa na utovu mwingine wa nidhamu kweli?
Labda ndo 'keshakosa'
Maandalizi ..
Mimi nazungumza talents kuliko uwezo unao onekana..
Unajua hata Vita Kawawa angepata maandalizi
Angefaa kuliko wengi?
Sio mlafi
Sio muoga.
Only hakuandaliwa..wild child
sijataja chama ndio maana nimesema "hakuna wengine wa kuongoza"?Hahahha.. Kwani chadema hamtarajii kushinda urais huko Zanzibar?
Watu wengi wanachanganya sana Baba na Mtoto, Geroge Herbert Walker Bush na George Walker Bush.George W. bush ana mapacha wawili Barbara na Jenna,bali George H. W. Bush ndio ana George W. Bush, Jeb Bush na wengineo.
Nyie ndio mnajua kuwa kiongozi ni kupiga kelele kama lisu uongozi ni busara iwezo wa Hussein umeonekana kusimamia jeshi
Mimi sikuchanganya nilikuwa very clearWatu wengi wanachanganya sana Baba na Mtoto, Geroge Herbert Walker Bush na George Walker Bush.
Acha udiniKutoka CCM hakuna hata mmoja anayefaa wote ni vibaraka tu wanaowekwa na Tanganyika na Kanisa Katoliki , hakuna jipya zaidi ya kuifisidi nchi
Kiongozi Mzuri asiye na mamlaka na nchi yake!?
Nani ni rais Mtarajiwa; Mwinyi au huyo General NassorHuyo ndo Rais ajaye wa Zanzibar mkuu
Sijui ulimwuliza swali hili, ila ni kweli kuwa kongozi wa kisisasa ni lazima aweze kujieleza kwa wananchi anaowaongoza; ni tofauti sana na kiongozi wa Shirika au kampuni ingawa hata wao wanahitajiwa kuwa na public speaking na communication skills nzuri.Kumbe kuongoza ni kujua kuongea?
Kwa hiyo mpaka sasa haja mature ???Wild Child..anafahamika.
Akiwa mature atakuwa better kuliko Ridhiwan.
Wild pia manake anajiamini ..anaweza fanya maamuzi ..
Wild Children wengi wamekuja kuwa better Leaders kuliko hawa Decent and loyal
What about yourself ukiwa polished etcSi bado anakuwa?
Usim judge Kwa tabia za kitoto
Confidence
Uwezo wa maamuzi.
Uwezo wa kushawishi
Hizo ni hidden talents
Once polished atafaa zaidi kuliko mtoto anaefata Tu maagizo ya baba