Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,734
- 3,652
muimba sengeliHahaha, Eti Miraji anaonekana ni Natural leader kuliko Ridh1!
Bila shaka humjui Miraji kabisa
Anafahamika kama 'wild child'.Mkuu unamjua miraji Kikwete wewe [emoji1][emoji1][emoji1], muwage mnauliza
.Hivi Mwinyi alikuwa natural leader?
hivi lazima kila kiongozi awe na character ya uongozi?
how would we know kuwa huyu ndio anapaswa kuwa kiongozi?
Nilidhani yule mbunge wa EA anaitwa ABDALLAH!Mbunge afrika mashariki
Kama Mahmoud ni fisadi, je unazijua biashara za Hussein Mwinyi anazofanya na wahindi yakiwemo majumba ya kupangisha?Mahmoud tatizo lake kubwa ni ufisadi mpenda mali na mademu.
Hajatulia kabisa he is fake
Hata katika jamii, wanaojitambua hawapendwiRais wa Zanzibar kwanza kabisa anatakiwa ajue kwamba amewekwa pale kwa nguvu ya Tanganyika na cheo chake kinashikiliwa na Tanganyika. Lazima afuate maelekezo ya bara, utii na nidhamu muhimu.
Wakiona mtu anajitambua ni ngumu sana kumpatia urais Zanzibar, anaweza kubadili upepo wa kisiasa mambo yakabadilika sana.
Niliemuona Mimi alikuwa Hassan.
Ama nimekosea jina au yupo Hassan..
Alikuwa a bit younger..but siku nyingi
Bara hawataki strong leader Zanzibar ná ndio maana walimchagua Amani Karume badala ya msomi mahili Dr. Bilali ambaye ndio alikuwa chaguo la wazenj!!
Safari hii wakiwachezea tena waambieni mnarudi visiwani na Afro Shiraz yenu!! Muwaache na TANU yao!!
Huwezi peleka mwanamke awe rais kwenye nchi ambayo zaidi ya 95% ya watu wake ni muslim.mila na desturi lazima zizingatiwe.Mmm Huyu ndio Rais wa Zanzibar duu naona atafit tu nilitegemea na Mama Samia akachukue form but it seems kuwa Rais wa Zanzibar ni demotion ila una full nchi.Husein alitabiriwa siku nyingi
Hahahha.. Kwani chadema hamtarajii kushinda urais huko Zanzibar?MATAGA msilete utawala wa kisultani, wapo watu wengi wenye uwezo wa kuongoza, hamjazichoka tu hizo familia ?
Bwashee acha ucheshi, Dr Bilali huyu huyu Makamu wa JK.?
Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..
Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..
Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.
Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....
Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...
Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba
Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..
Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..
Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..
Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....
Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.
Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.
Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..
Huyo ndo Rais ajaye wa Zanzibar mkuuHalafu naona kama huyu jamaa amebebwa kweli na wala sijawahi ona jambo linaloashiria kuwa ni mchapa kazi kuliko wengine wote kiasi cha kudumu katika uwaziri kwa miaka yote 25 iliyopita. Sijawahi kumsikia akiongea na watu anaowaongoza labda kama huwa anafanya hivyo kichini chini tu- jambo pekee linalokuja haraka kichwani mwangu ni pale alipokuwa mbele kufukuza madakari Muhimbili badala ya kuongea nao na kuwatuliza; kiukweli hata sijui sauti yake. Tangu amalize shule hakuwahi kufanya hospitali yoyote; yaani alitoka shuleni tu, Mkapa akambeba kuwa naibu waziri - sielewe kama ilikuwa ni kumfurahisha mzee mwinyi ambaye alikuwa karithiwa na Mkapa, na kuanzia hapo hajawahi kutoka kwenye uwaziri.
Kwa Zanzibar, mimi nilikuwa namwona Major General Issa Suleiman Nassor angefaa sana; ni kiongozi mzuri sana ukichukulia jinsi alivyokuwa anaongoza kamandi zake jeshini, na vile vile amweahi kufanya kwenye balozi zetu za India na Misri; sijui sasa hivi yuko wapi.
Yaani KUMSIKIA MTU AKIONGEA vs mtu ambaye uadilifu wake umeshapimwa kwa kupewa madaraka kwa miaka kadhaa na asitende haya marushwa rushwa na utovu mwingine wa nidhamu kweli?Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..
Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..
Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.
Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....
Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...
Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba
Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..
Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..
Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..
Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....
Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.
Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.
Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..