Hassan Mwinyi ana kipaji kuliko Hussein

Hassan Mwinyi ana kipaji kuliko Hussein

Kama Mahmoud ni fisadi, je unazijua biashara za Hussein Mwinyi anazofanya na wahindi yakiwemo majumba ya kupangisha?

Bara hawataki strong leader Zanzibar ná ndio maana walimchagua Amani Karume badala ya msomi mahili Dr. Bilali ambaye ndio alikuwa chaguo la wazenj!!
Safari hii wakiwachezea tena waambieni mnarudi visiwani na Afro Shiraz yenu!! Muwaache na TANU yao!!
Ya Chat in Bilal hakuwa chaguo is ZNZ bali alikuwa ni chaguo la Salimin Amour , baada ya Salimin kutaka kuongeza muhula, Lakini dola ikamzuia na kumuona Gharib aliyekuwa waziri Kiongozi ndio wale wale.
 
Nasikia system imempendekeza yeye ili kuepusha mpasuko wa CCM Zanzibar.

Huyo akishinda itakuwa ni Lulu kwa Zanzibar, siyo mtu wa siasa siasa, bali yuko driven na matokea, halafu ni msilizaji mzuri sana. Kama hakuelewa, hawezi ku-assume kuwa ulikuwa na maana gani, atakauuliza tena ili ahakikishe anakuelewa sawasawa ndipo akujibu. Halafu maamuzi yake ni smart sana, ndiyo maana anajiamini na ni decisive sana.
 
Kama Mahmoud ni fisadi, je unazijua biashara za Hussein Mwinyi anazofanya na wahindi yakiwemo majumba ya kupangisha?

Bara hawataki strong leader Zanzibar ná ndio maana walimchagua Amani Karume badala ya msomi mahili Dr. Bilali ambaye ndio alikuwa chaguo la wazenj!!
Safari hii wakiwachezea tena waambieni mnarudi visiwani na Afro Shiraz yenu!! Muwaache na TANU yao!!

Hilo hawawezi kufanya hata siku moja. Wameshajazwa corona matumboni na kwenye bongo zao . Wote ni mijoga . Njaa zinawasumbua
 
Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..

Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..

Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.

Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....

Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...

Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba

Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..

Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..

Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..

Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....

Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.

Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.

Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..
Ww kwa baba umerithi nn au umerithi kuchunguza maisha ya watu


Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Nyie ndio mnajua kuwa kiongozi ni kupiga kelele kama lisu uongozi ni busara iwezo wa Hussein umeonekana kusimamia jeshi

Nipe tofauti ya Lisu na Yesu wa ccm. Kwa hiyo uongozi ni kuwa kondoo?
 
Mkuu upo sawa! Nakumbuka kipindi kile Baba wa Taifa Mwl. Nyerere alipotangaza kung'atuka , baadhi ya wananchi katika maeneo mbalimbali. walimlilia hadi machozi wakimuomba aendelee kuwa rais wa nchi yetu! Nikajiuliza hivi huyu rais wetu hana watoto ili warithi cheo chake?....Hata hivyo baadae nikagundua kuwa vipaji vya watoto wake vimepishana kwa mbali sana na kipaji cha baba yao! Nazani ndio sababu hata ndani ya serikali ya sasa hatukuwa na waziri hata mmoja toka familia ya Baba wa taifa, si kwamba wote walishakufa au kuzeeka wapo, ila vipaji na pengine hata interest zao katika siasa ndio shida! Hapa tunapaswa kuelewa kuwa kuzaliwa katika familia ya rais ni jambo moja , na kuwa na uwezo kama wa baba nalo ni jambo lingine!
 
Nyie ndio mnajua kuwa kiongozi ni kupiga kelele kama lisu uongozi ni busara iwezo wa Hussein umeonekana kusimamia jeshi
Lissu alikupaga nini kitamu hivyo hadi umeshindwa kumsahau hadi leo
 
Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..

Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..

Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.

Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....

Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...

Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba

Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..

Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..

Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..

Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....

Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.

Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.

Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..


Abdullah Mwinyi.. Mimi pia naona wazi Abdullah Mwinyi ana uwezo mzuri zaidi kuliko Hussein.
 
Back
Top Bottom