Hassan Mwinyi ana kipaji kuliko Hussein

Hassan Mwinyi ana kipaji kuliko Hussein

Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..
Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...


Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..
 
Nasikia kwamba mkulu atamkata dogo mwinyi mapema sana. Kwani dogo alishaweka ushawishi wa kutosha kwa masela yale ya baka baka. Na dingi mkulu hapendi mtu mwenye ushawishi. Nasikia pendekezo lake ni makame ili awe anampeleka peleka mdogo mdogo
 
Si bado anakuwa?
Usim judge Kwa tabia za kitoto
Confidence
Uwezo wa maamuzi.
Uwezo wa kushawishi
Hizo ni hidden talents
Once polished atafaa zaidi kuliko mtoto anaefata Tu maagizo ya baba
Yaani uzito wa hoja yako ni kuwa inafaa watoto wa viongozi watazamwe na kujengwa vizuri ili wawe viongozi.
 
Yaani uzito wa hoja yako ni kuwa inafaa watoto wa viongozi watazamwe na kujengwa vizuri ili wawe viongozi.
Watoto wote wenye vipaji vya Uongozi watazamwe na waandaliwe
 
Nasikia kwamba mkulu atamkata dogo mwinyi mapema sana. Kwani dogo alishaweka ushawishi wa kutosha kwa masela yale ya baka baka. Na dingi mkulu hapendi mtu mwenye ushawishi. Nasikia pendekezo lake ni makame ili awe anampeleka peleka mdogo mdogo
Sema tu Mwinyi na Mbawara ni watiifu kwa mkulu. Ingawa Mwinyi ana nafasi kubwa zaidi kwasababu anatokea Unguja wakati Makame anatokea Pemba ambapo Rais wa sasa Shein anatokea.

Lakini pia kwa kuwatazama wawili hawa kisaikolojia, Mwinyi anaonekana kuwa mtiifu zaidi hata akipata madaraka ya Urais wa Zanzibar kuliko Mbarawa. Namuona Mbarawa ana kiburi kilichojificha.

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Abdullah Mwinyi.. Mimi pia naona wazi Abdullah Mwinyi ana uwezo mzuri zaidi kuliko Hussein.
Nature ya fani walizochukua ndio zinaakisi character zao za kuwa pro active na mwingine passive.
B
Abdallah kuwa lawyer kuna mfanya awe talkative etc , wakati huyu mwingine ni Dr haongei hovyo hovyo
 
Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..

Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..

Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.

Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....

Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...

Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba

Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..

Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..

Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..

Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....

Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.

Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.

Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..
HILI NI CHAGUO LETU.HASSAN NI WA KWAKO NA UNAMJUA WEWE.KAMA NI ISSUE YA KUWA WILD BASI APEWE KARUME UNLESS HUIJUI VIZURI MAANA YA NENO WILD LITUMIKE VIPI.
 
1.Haja slim??
2.Na kwani wake zake ni public people,
Maana siwajui wala kupata kuwasikia zaidi ya Yule aliyemuacha

Mkewe wa kwanza baba yake ni marehemu major Hermann. Ndio huyo mnasema amemuacha?
 
Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..

Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..

Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.

Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....

Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...

Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba

Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..

Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..

Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..

Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....

Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.

Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.

Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..
Tumewachoka hawa watoto wa viongozi,Tanzania sio nchi ya kisultan. Tumpe kura Mbarawa, siku hizi Tanzania tumeanza kuwa kama Kenya ambako watoto wanawarithi baba zao kwenye nafasi mbalimbali za uongozi.
 
Kutoka CCM hakuna hata mmoja anayefaa wote ni vibaraka tu wanaowekwa na Tanganyika na Kanisa Katoliki , hakuna jipya zaidi ya kuifisidi nchi
Zanzibar ina nini cha kufisadi,Zanzibar ndio mnafisadi bara,hata umeme mnashindwa kulipa
 
Zanzibar ina nini cha kufisadi,Zanzibar ndio mnafisadi bara,hata umeme mnashindwa kulipa

Waulize Maaskofu wako kwa nini kanisa linaawaambia muulinde muungano kwa nguvu zote ??? Na mnaambiwa Mungu amewapa jukumu la kuulinda , sijui kutoka biblia ipi imeandika hii habari?


Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu

1592752417475.png



Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
Allah atamfanyia atamfanyia wepesi Dr. Hussein na atakuwa rais ajaye wa zanzibar in 20 days time
 
Back
Top Bottom