Hassan Mwinyi ana kipaji kuliko Hussein

Hassan Mwinyi ana kipaji kuliko Hussein

Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..

Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..

Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.

Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....

Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...

Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba

Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..

Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..

Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..

Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....

Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.

Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.

Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..
Halafu naona kama huyu jamaa amebebwa kweli na wala sijawahi ona jambo linaloashiria kuwa ni mchapa kazi kuliko wengine wote kiasi cha kudumu katika uwaziri kwa miaka yote 25 iliyopita. Sijawahi kumsikia akiongea na watu anaowaongoza labda kama huwa anafanya hivyo kichini chini tu- jambo pekee linalokuja haraka kichwani mwangu ni pale alipokuwa mbele kufukuza madakari Muhimbili badala ya kuongea nao na kuwatuliza; kiukweli hata sijui sauti yake. Tangu amalize shule hakuwahi kufanya hospitali yoyote; yaani alitoka shuleni tu, Mkapa akambeba kuwa naibu waziri - sielewe kama ilikuwa ni kumfurahisha mzee mwinyi ambaye alikuwa karithiwa na Mkapa, na kuanzia hapo hajawahi kutoka kwenye uwaziri.

Kwa Zanzibar, mimi nilikuwa namwona Major General Issa Suleiman Nassor angefaa sana; ni kiongozi mzuri sana ukichukulia jinsi alivyokuwa anaongoza kamandi zake jeshini, na vile vile amweahi kufanya kwenye balozi zetu za India na Misri; sijui sasa hivi yuko wapi.
 
Mkuu, unawaonea bure watanganyika na hilo kanisa. Hiyo ni kazi ya ccm, period.

Sawa Mkuu , nimekuelewa nakuomba msamaha, Makusudio yangu ni serikali ya CCM na sio watu wa kawaida wanaoteseka ,wengine kuliko Wazanzibar
 
Rais wa Zanzibar kwanza kabisa anatakiwa ajue kwamba amewekwa pale kwa nguvu ya Tanganyika na cheo chake kinashikiliwa na Tanganyika. Lazima afuate maelekezo ya bara, utii na nidhamu muhimu.

Wakiona mtu anajitambua ni ngumu sana kumpatia urais Zanzibar, anaweza kubadili upepo wa kisiasa mambo yakabadilika sana.
 
Nimeona leo Hussein Mwinyi kachukua form huku tetesi zikisema ndo chaguo la chama kurithi Urais Zanzibar..

Watoto mara nyingi Wana kawaida ya kupenda kurithi kazi za Baba zao..ingawa sio wote wanaweza..na mara nyingi watoto hupata wepesi wa kufika Kwa msaada wa Baba au marafiki wa baba..ingawa mara nyingi huwa na uwezo duni kulinganisha na Baba zao..

Ila katika hao watoto mara zote sio wote hurithi uwezo au vipaji vya baba zao..
Mara nyingi ni mtoto mmoja ndo anakuwa.

Amerithi kitu au vitu kutoka Kwa baba yake...wote wanaweza fanana Sura na Baba
Lakini mmoja akarithi 'natural leader'
Mwingine akarithi ucheshi ..
Nadra Sana kurithi kila kitu ....

Sasa katika watoto wa Mwinyi nimewahi msikia Hassan Mwinyi akiongea wakati anagombea ubunge Afrika mashariki..
Nikasema 'huyu ana kitu'..
Nimemsikia sana Hussein Mwinyi akiongea
Mara Kwa mara sijawahi 'feel 'kiongozi anaongea...

Mtoto mwingine wa Viongozi hasa Zanzibar akiongea unajua huyu ni 'kiongozi'..ni Mohamed Thabit Kombo...vipaji vya wazi
Ambavyo vingetazamwa na kundelezwa wangekuwa 'viongozi wazuri ' zaidi...
Hussein sifa ya utiifu ndo inambeba

Na utiifu sio sifa kubwa saana ya Uongozi..
Watoto ambao wanakuwaga 'wild'mara nyingi huja kuwa Viongozi wazuri zaidi Kwa sababu angalau wataweza 'decision making'..kuliko watiifu ..ambao ni rahisi kushindwa kuamua au kutii bila kuuliza..

Watu wengi huwapa huwapa special treatment 'first born 'na kipaumbele ingawa huja kugundua very late walikosea.
Mwenye kipaji ni second born au third born..wakiwa washafanya kosa..

Wazazi wa George W Bush walijua Kwa uhakika second born Jeb Bush angeweza kuja kuwa better Leader zaidi ya first born George..wakiwa tayari washachelewa..

Hata Zanzibar Ally Karume ni more 'natural leader ' kuliko Amani lakini ..washachelewa....

Na hata familia ya Kikwete ..Miraji anaonekana more natural leader kuliko Ridhiwan lakini Ridhiwan atapewa kipaumbele..the list is long.

Atakapokuwa Rais.. Hussein nna uhakika atalaumiwa Sana Kwa 'indecision' kuliko Kwa decisions...na maswali kama ni kiongozi mwenye mamlaka au anapokea maagizo yatajitokeza.

Hassana Mwinyi au Mohamed Thabit Kombo wangefaa zaidi but ..too late..
Hivi unamzungumzia Miraji Kikwete huyu huyu au yuko mwingine?..

Miraji dah!
 
Hahaha, Eti Miraji anaonekana ni Natural leader kuliko Ridh1!

Bila shaka humjui Miraji kabisa
Wild Child..anafahamika.
Akiwa mature atakuwa better kuliko Ridhiwan.
Wild pia manake anajiamini ..anaweza fanya maamuzi ..
Wild Children wengi wamekuja kuwa better Leaders kuliko hawa Decent and loyal
 
Wild Child..anafahamika.
Akiwa mature atakuwa better kuliko Ridhiwan.
Wild pia manake anajiamini ..anaweza fanya maamuzi ..
Wild Children wengi wamekuja kuwa better Leaders kuliko hawa Decent and loyal
Miraji dah!!
 
Hivi unamzungumzia Miraji Kikwete huyu huyu au yuko mwingine?..

Miraji dah!
Si bado anakuwa?
Usim judge Kwa tabia za kitoto
Confidence
Uwezo wa maamuzi.
Uwezo wa kushawishi
Hizo ni hidden talents
Once polished atafaa zaidi kuliko mtoto anaefata Tu maagizo ya baba
 
Si bado anakuwa?
Usim judge Kwa tabia za kitoto
Confidence
Uwezo wa maamuzi.
Uwezo wa kushawishi
Hizo ni hidden talents
Once polished atafaa zaidi kuliko mtoto anaefata Tu maagizo ya baba
Miraji umri wote ule bado anakua?
Labda atabadilika akifikisha 40+
 
Ndio huyo
Basi labda kakosa 'maandalizi' in the end
Nilimuona akigombea ubunge mara ya kwanza
Zanzibar ..alikuwa na kitu Fulani nikasema
Huyu akiandaliwa atafaa sana
 
Uchambuzi wako ni mzuri lakini haujazingatia mazingira ya kisiasa ya zanzibar,Rais wa zanzibar siku zote anatakiwa kuwa mtu wa ndio mzee mtiifu kwa Tanganyika.

Ukiwaweka hao wild ambao mara nyingi wapo unpredictable utavunja muungano baada ya muda,kwa imani ya uongozi wa CCM jamii ya akina mwinyi huko zanzibar ndio wanaofaa.

Huo utiifu na ndio Mzee ndo maana
muungano unachukiwa huko zenji
 
Basi labda kakosa 'maandalizi' in the end
Nilimuona akigombea ubunge mara ya kwanza
Zanzibar ..alikuwa na kitu Fulani nikasema
Huyu akiandaliwa atafaa sana
Labda hilo la ufisadi,mengine ni sifa za ziada za mwanaume
 
Back
Top Bottom