Msanii wa miondoko ya Hip Hop nchini Joh Makini, amelalamika kukosa sapoti toka kwa msanii mwenzake aliefanya nae wimbo.
Joh ameandika kwenye ukurasa wake wa X,
“Hii tasnia yetu bana kuna vitu vinafikirisha sana sometimes kufundishana uoga kwiingi mtu anakubali kushiriki kwenye wimbo kiroho safi unapofika wakati wa kushiriki promo kwa faida ya pande zote unakuta mtu kawekewa masharti magumu kama utajiri wa kishirikina!! #Formula”
Unahisi ni Msanii gani aliekataa kumpa sapoti kwenye promo ya wimbo wake?
Written by Mjanja M1 ✍️
Joh ameandika kwenye ukurasa wake wa X,
“Hii tasnia yetu bana kuna vitu vinafikirisha sana sometimes kufundishana uoga kwiingi mtu anakubali kushiriki kwenye wimbo kiroho safi unapofika wakati wa kushiriki promo kwa faida ya pande zote unakuta mtu kawekewa masharti magumu kama utajiri wa kishirikina!! #Formula”
Unahisi ni Msanii gani aliekataa kumpa sapoti kwenye promo ya wimbo wake?
Written by Mjanja M1 ✍️