Finally Msanii Harmonize ameuachia wimbo wake wa "I made it" ambao kawashirikisha wasanii Bien wa kenya na Bobby Shmurda toka States.
Huu wimbo ulikuwa unasogezwa siku mbele kuachiwa, sio mara moja bali ni mara nyingi, na hapo juzi kati Harmonize alisogeza mbele kuutoa baada ya msanii Diamond platnumz kuachia wimbo Mapozi.
Vipi unauonaje huu wimbo, ni mkali au wa kawaida?
Written by Mjanja M1
Huu wimbo ulikuwa unasogezwa siku mbele kuachiwa, sio mara moja bali ni mara nyingi, na hapo juzi kati Harmonize alisogeza mbele kuutoa baada ya msanii Diamond platnumz kuachia wimbo Mapozi.
Vipi unauonaje huu wimbo, ni mkali au wa kawaida?
Written by Mjanja M1