mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
Wapi rafiki yangu Topical aka mzee wa CUF? Tupia neno moja mkuu! kwani nimekumis sana sheikh wangu!
mmeanza kujihami , tume ina makosa gani? Na mkapa ametowa wapi haya maagizo? Hamtaacha uchochezi mpaka mtakapopata viongozi wabunifu,, hamuishi kulalama kama wanawake subirini hy tarehe 1-4-2012 mtakavyosambaa mapema
kiasi kilichopatikana ni siri kwa sasa hadi fungu la wenye chama litengwe kwanza ie kaskazini especially moshi
Charity begins at home. Kila chama kina ngome yake hata CCM haiwai kushinda Pemba tangu mfumo wa vyama vingi uanzaHiyo movement yao ingekuwa imefanyikia mikoa ya Lindi, Mtwara,
Ruvuma au Rukwa ningeshiriki! Kwenda kufanyia kitu kama hicho nyumbani kwa CDM kumenidiscourage!
Maneno ya mkosaji hayo!....mutaumwa vidonda vya tumbo! munalo hilo mwaka huuKwa kweli leo ndio nimeamini kuwa CDM ni chama cha kikiristo kwani wachungaji na maasikofu wamejitoa makanisani mwao na kuanza kupanda jukwaani kummnadi eti kwa kumuombea. Source ITV, taarifa ya habari ya leo thrh 22/3/2012
Kaka inaonekana imekuuma sana kama ID yako ilivyo lakini mabadiliko huwa hayazuiliki na hakuna utawala uliodumu milele[h=6]Kwa kweli leo ndio nimeamini kuwa CDM ni chama cha kikiristo kwani wachungaji na maasikofu wamejitoa makanisani mwao na kuanza kupanda jukwaani kummnadi eti kwa kumuombea. Source ITV, taarifa ya habari ya leo thrh 22/3/2012[/h]
wewe unatumia fuvu la kichwa tu kufikiri na siyo ubongo.Kama umekojolea shuka lako kitandan ukashndwa kulala nenda kanuse tundu la choo usiku kucha kama wewe ni magamba halis.Huna lolote thaman yako ni kama ndala zinazoishia sebuleni chumban hazfki.Chadema ndo dawa yenu tulizeni vidude dawa yenu ipite!!Magamba kazi mnayo.
Kwa kweli leo ndio nimeamini kuwa CDM ni chama cha kikiristo kwani wachungaji na maasikofu wamejitoa makanisani mwao na kuanza kupanda jukwaani kummnadi eti kwa kumuombea. Source ITV, taarifa ya habari ya leo thrh 22/3/2012
Nimewachangia Laki tatu.
Kama nimesikia kwenye mitandao watu wamechanga tshs 8M tu! Duh watu kwenye viboard vp jamani...nini mchango wako?mimi nimechanga wewe je?
Nimewachangia Laki tatu.
Kwa kweli leo ndio nimeamini kuwa CDM ni chama cha kikiristo kwani wachungaji na maasikofu wamejitoa makanisani mwao na kuanza kupanda jukwaani kummnadi eti kwa kumuombea. Source ITV, taarifa ya habari ya leo thrh 22/3/2012
Mnalo mwaka huu'mtatokwa na mapovu sana hadi mpate vidonda vya tumbo na msongo wa mawazo juu.Kiukweli kama watanzania ni wazalendo na nchi yao. basi kauli za uongo zinapaswa kupigwa vita. Leo nashangaa kusikia kuwa nchi yetu haikuwahi kuwa na mshikamano, umoja, upendo na amani mpaka hapo ambapo CDM wamekuwa chama cha kwanza kuleta mshikamano hapa Tanzania, ninaweza kuita ni kauli dhaifu kwa kiongozi mkubwa kama yeye (Dr. slaa) unapo utangazia umma kuwa CHADEMA ndo chama cha kwanza kuleta mshikamano Tanzania, naomba tujiulize
1. Tanzania ilipataje uhuru wake bila mshikamano
2. Tanzania iliondoaje ukabila bila mshikamano
3. Tanzania ilishindaje vita vya Idd Amini bila ya mshikamano
... 4. Tanzania imeingiaje kwenye mfumo wa vyama vingi na uhuru wa kuongea(kuropoka, maana wengine wanaropoka tuu kisa yupo huru) bila mshikamano
5. Tanzania imetunzaje amani ya nchi yake bila mshikamano
Je kwa kipindi chote hicho mpaka leo watanzania wanaishije bila ya mshikamano
Je CDM imefanya kipi au imechukua lini madaraka mpaka imeleta huo mshikamano ambao nchi haukuwa nao????????????????
kwa hoja na sio ushabiki naomba kusaidiwa
najua waropokaji watakuja na kuanza kudai oh katumwa. Mimi ni msomi najitambua hivyo sin jinsi ya ya kumfanyia kazi mtu mwingine. but nahitaji kuyajua haya tu.