Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Kuna watu ndani ya CDM ambao ukiwachangia kama vile akina Zitto unaona kabisa umeitea vyema hela yako! But kuwachangia hao ndugu zangu wengine ni kutupa tu hela jalalani!

wewe gamba kweli! Wewe umeona mbunge ndio anachangiwa hapo?
 

Mkuu futa kauli ya kuwa wewe ni msomi bali sema umepitia madarasa mengi. Msomi yeyote anajua kuwa Tanzania needs plan B as plan A is not working. Msomi yeyote anajua tunahitaji Mabadiliko. Shame on you
 
Acha hizo hakuna udini katika chadema .umeshiiwa nyimbo kama rafiki zako wakina tyson na chama chao cha kujivua gamba ambalo halivuliki
Achana na gamba la Mtaa wa Lumumba hilo....hapo alipo presure inapanda presure inashuka
 

Kwa niaba ya uongozi wa CHADEMA, nakushukuru Ndugu Kagalala. Ukipeleka fedha kwa jina la "M4C" kupitia National Bank of Commerce au CRDB Bank Ltd, zitaingia katika akaunti ya CHADEMA.
 
mimi mbunge wangu wa Moshi(M) Mzee Ndesamburo kanifurahisha sana, pale aliposema ''Nachangia milyioni 20, twenty M!, hii ni kidogo sana, bado ipo mingi tu . . . Ndani ya nchi na nje ya nchi ipo mingiii!'', kwakwel huyu Mzee mungu auongezee uri wa kuishi mara dufu. Amen
 
Reactions: LAT
Kwa niaba ya uongozi wa CHADEMA, nakushukuru Ndugu Kagalala. Ukipeleka fedha kwa jina la "M4C" kupitia National Bank of Commerce au CRDB Bank Ltd, zitaingia katika akaunti ya CHADEMA.

Asante sana Mzee Mtei. Kesho ntatumbukiza CRDB
 
Hapo Mama Junior anafurahi tu mpunga umeingia, Baba Junior anapiga hesabu ya kumalizia jumba lake la kifahari Kunduchi Beach watu wanachangishwa pesa bila kufahamu zinakwenda wapi CDM bhana.
 

Ndesamburo bhana, huyo Mzee msanii sana unakuwa kama ule mchezo wa karata kekundu na kaeusi, anajifanya anatoa Ml 20 ili hawavute watu, Wachaga wana mbinu nyingi kwenye pesa.
 
Hapo Mama Junior anafurahi tu mpunga umeingia, Baba Junior anapiga hesabu ya kumalizia jumba lake la kifahari Kunduchi Beach watu wanachangishwa pesa bila kufahamu zinakwenda wapi CDM bhana.
Afadhali watu wanachanga kwa hiari yao kuliko CCM inayochota hazina alafu wafanyakazi wa serikali wanakosa mishahara. Kama huwezi kuona kuwa Chadema ni chama cha watu basi unamatatizo katika uwezo wako wa kufikili.
 
Ndesamburo bhana, huyo Mzee msanii sana unakuwa kama ule mchezo wa karata kekundu na kaeusi, anajifanya anatoa Ml 20 ili hawavute watu, Wachaga wana mbinu nyingi kwenye pesa.

wewe umetoa hata 500 au unapiga porojo??
 

Fundrising ni hiari ya mtu so sio kila ishu uchangie humu jamvini
 
Kesho tunaongeza chopa ingine kwenye campaign ya ARUMERU, mpunga umeingia banaaa!!!!!!!!!!!!!!
 
Hapo Mama Junior anafurahi tu mpunga umeingia, Baba Junior anapiga hesabu ya kumalizia jumba lake la kifahari Kunduchi Beach watu wanachangishwa pesa bila kufahamu zinakwenda wapi CDM bhana.

tuachie chadema yetu..hata kama slaa atazitumia we inakuuma nini?acha kuwaza kwa kutumia kisigino
 
Hiyo movement yao ingekuwa imefanyikia mikoa ya Lindi, Mtwara,
Ruvuma au Rukwa ningeshiriki! Kwenda kufanyia kitu kama hicho nyumbani kwa CDM kumenidiscourage!
Hata TANU haikuanza kwa kukubalika nchi nzima ya Tanganyika. Kadri siku zinavyosonga CDM itafika huko!
 
Nina amani sana hadi muda huu baada ya kuhakiki suala hili hadi mwisho!
Mungu saidia, acha nikalale tu, Naamini nitapata usingizi murua!
Mungu bariki cdm!...Mungu bariki Watanzania waliojitoa kusaidia ukombozi wa kweli wa nchi hii!
Mkoloni mweusi ni lazima aachie nchi yetu aondoke!
 
There are currently 670 users browsing this thread. (159 members and 511 guests)

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…