Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Harambee ya CHADEMA - Naura Spring, Arusha

Imebidi ni google lakini nikaambulia patupu ulikuwa na maana gani kuwa compaund wanachama.

halafu hao ndio wana CCM wenye high IQ mpaka wame kuwa recuruited kuja kuchafua hali ya hewa humu...
 
Hongereni sana Chadema!Hakika Mlianza na Mungu na Mtamaliza na Mungu!!
 
Eti sometime kuna watu huwa wanaifananisha CDM na NCCR au CUF...hivi mnaona mziki wa CDM?
Jamani mtake msitake CDM ni level nyingine! mutapata vidonda vya tumbo na msongo wa mawazo bure!!
kubalini tu kuwa CDM ndiyo chama mbadala baada ya ccm hii inayojifia....shame on u all!
Mungu ibariki Chadema
 
Jamani hapo ukumbini hakuna wana JF waendelea kutupatia Updates?
 
Nikatika ukumbi wa naura spring arusha wakizindua mpango wao wa M4C(Movement For Change) ambapo kauli mbali mbali zilitolewa na viongozi wa ngazi za juu wa chadema akiwemo katibu mkuu Dr. Slaa pale aliposema safari hii maneno basi mambo ya kusubiri kupelekana mahakamani No more As Bora Kuchimbike ........... Uku m1 wa waasi wa chama akisema kama ni pesa yeye yuko nazo nyingi sana ndani na nje ya nchi wala hamuogipi m2 kwasababu ni za halali .......
Je wewe mwana wa nchi hii unajifunza nini kutoka na hizo kauli za viongozi hao
 
Huyu Mwigulu mbona bado wana m entertain sana.. Ilibidi azomewe kila anapopita how come anakula mke wa kada wa Chama? Halafu bado NEC ya CCM inamchekea chekea

Mkuu, hukumbuki ule msemo; "ndege wafananao huraka pamoja?" So lazima wachekeane.
 
Nimejifunza uthubutu. Kila kitu kinawezekana under self determination. Keep it up CDM.
 
wakati mnakataa posho huku mnatembeza bakuli inakuwaje hii,, UNAFIKI hamna lolote twajuwa lengo lenu bhana

Hakuna cha unafiki lengo ni kuimarisha chama kwa nguvu ya pamoja na watu na siyo kuwafisadi watu kama kukubali posho
 
Back
Top Bottom