comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,505
Yani wale watu wenye Mikoni michafu ndio wameshuka operations za taifaJPM alisema mtanikumbuka
hakuwa anawachekea mafisadi majizi matajiri yanyaopiga dili,ila alikuwa amejitoa kutetea wanyonge .
Tutamkumbuka raisi wa wanyonge.
Wakuu, Hii harambee ya Chama tawala imejaa genge Fulani la watu wachafu tu na hawana interest na taifa letu,
Urais ni cheo cha juu kabisa na nadhani ni vyema kika serve interest ya umma kuliko Kuhuduma kwa cartel Fulani la watu wachache,
power inakuja na Kuondoka ila generation zetu zitakuwa hapa for years tu come, Right kama Nyerere angekuwa walau na element za Viongozi wetu Hawa wa Leo basi kama taifa tusingefika hapa tulipo
tuache show off
Pamoja na yote hayo ila............haijulikani saa wala dakika usiyempenda akitumwa kuja kusafisha banda...............bendera nusu...mlingoti italihusu taifaHao wanaitwa Wahuni! Na ndiyo watakao itawala nchi mpaka 2030. Kuna mtu hapo atabakia tu kuwa ni kivuli cha hao Wahuni wachache watakao muweka madarakani kwa kutumia fedha zilizo tokana na biashara ya madawa ya kulevya, ujangili, ufisadi, rushwa, wizi, ubadhirifu, nk.
hamuwezi kuiondoa ccm kwa matusi,hamna plan,hamna mikakati,mmekalia majungu,uongo,kutukana na ujinga
Tangu juzi nikiwa nyumbani usiku naangaliza Episode za El Chapo Ghuzman ndio nimemaliza leo, cha kusikitisha naingia JF nakuta mjadala umepamba moto wa Ccm wanavyotakatisha pesa.Hao wanaitwa Wahuni! Na ndiyo watakao itawala nchi mpaka 2030. Kuna mtu hapo atabakia tu kuwa ni kivuli cha hao Wahuni wachache watakao muweka madarakani kwa kutumia fedha zilizo tokana na biashara ya madawa ya kulevya, ujangili, ufisadi, rushwa, wizi, ubadhirifu, nk.
Jamaa hawana aibu kabisa, 2030 ndio hatutaamini macho yetuTangu juzi nikiwa nyumbani usiku naangaliza Episode za El Chapo Ghuzman ndio nimemaliza leo, cha kusikitisha naingia JF nakuta mjadala umepamba moto wa Ccm wanavyotakatisha pesa.
Kwa aliyeona hii filamu ya El Chapo wala hupati shida kujuwa wauza dawa za kulevya wanaweza kumuweka Rais madarakani na wakawa wanatowa amri au kupewa protection kwenye uhalifu wao.
Tuna kina El Chapo na Don Pablo Escobar nchini kwetu na wote wamejifunika shuka la ccm.
Naisikitikia nchi yangu tumekwisha, ile kauli mtanikumbuka sasa ni dhahiri.
Sijawahi kumkubali Magufuli lakini hiki wanachotufanyia genge la Msoga hakikubaliki.
Trump ndio kiboko ya hizi takatakaJamaa hawana aibu kabisa, 2030 ndio hatutaamini macho yetu
We zisime tu ng'ombe za CCM ila dini tuachie mkuu.Matako kwwli wewe kusonga mbele ni kukumbatia majizi na mafisadi wafuasi wa CCM wa sasa mna akili mavi sana vichwa vimejaa funza, na ninadhani ni kwa sababu wengi wa wafuasi wa CCM wa sasa ni waislam
View attachment 3439490Hili fisadi puto halijapasuka
yani wewe ukute hata kesho hujui utakula nini alafu unatukana watu apa as if ipo kati ya hao mabilionea.Vipi wangekuwa wamekusanyika kwenye harambee za chadomo mngekuja kunyanyua miqukundu hapa eti mafisadi?
Nyie endeleeni na manoo noo yenu..
Na muda si mrefu kuna mtu atakula kitanzi akili iwakae sawa!
KUNA ANGUKO KUU LA CHADOMO LISILOKUWA NA MWISHO!
Watanganyika wenye asili ya...Wakuu, Hii harambee ya Chama tawala imejaa genge Fulani la watu wachafu tu na hawana interest na taifa letu,
Urais ni cheo cha juu kabisa na nadhani ni vyema kika serve interest ya umma kuliko Kuhuduma kwa cartel Fulani la watu wachache,
power inakuja na Kuondoka ila generation zetu zitakuwa hapa for years tu come, Right kama Nyerere angekuwa walau na element za Viongozi wetu Hawa wa Leo basi kama taifa tusingefika hapa tulipo
tuache show off
Vipi wangekuwa wamekusanyika kwenye harambee za chadomo mngekuja kunyanyua miqukundu hapa eti mafisadi?
Nyie endeleeni na manoo noo yenu..
Na muda si mrefu kuna mtu atakula kitanzi akili iwakae sawa!
KUNA ANGUKO KUU LA CHADOMO LISILOKUWA NA MWISHO!
Wasiwasi utoke wapi ilhali ni rafiki wa Jumanne Kaseja (JK) Rais MwandamiziHuyu jamaa enzi za JPM na mwenzake rugemalila walikua ma model. Saivi anaonekana hana chembe ya wasiwasi. Daah