Harakati za kufikisha umri wa miaka 100

Harakati za kufikisha umri wa miaka 100

“Ningeweza kuishi milele ningebakia mstari wa mbele ,omba pepo siyo unakesha kuomba uzima wa milele ,duniani nimeona mambo mengi lakini jicho halijafika kilele ,siwaahidi kuishi miaka 100 kama alivyoahidi hayati Nyerere” – Kalapina Nabii Koko
Bado yupo?
 
Ni kweli, hawa watu walionenepeana mpaka mashavu, matako yamejaziana mafuta, mapaja na tumbo kujaajaa ukiwaangalia tu unajua kabisa hawatoboi hata miaka 70. Wanaonaga sifa kunenepeana huku wakidharau watu wembamba/kimbaumbau. Unakuta kijana mdogo ana kitambi huku akisifiwa ana afya njema kumbe hata miaka 60 hafiki
 
Kuvuka 65 kipengele sana, huku kisukari, kule kiharusi, mle HIV
wazee kadhaa nilioshiriki maziko yao hivi karibuni ni 60-63
 
Bado yupo?
Nakumbuka kuna speech ya Late Nyerere alisema kwamba ataishi miaka 100 na ndipo Kalapini akaandika huo mstari.

Anayepanga ni Mungu ,unaweza ukafanya kila kitu kujilinda lakini ukaondoka mapema maana imeandikwa kama Bwana hatoulinda mji wake wakeshao wanafanya kazi bure.

Haujawahi kuona au kusikia jamaa amefariki amegongwa na gari alikuwa anafanya mazoezi barabarani? Lengo lake lilikuwa anafanya mazoezi ili asipate magonjwa ambayo yanayoweza kumuondoa mapema lakini ameenda barabara kufanya mazoezi anagongwa na gari anakufa mapema.

Kuna jamaa yangu aisee anafanya kazi ngumu sana za ujenzi ,kuchimba mashimo ya choo ,kulima kwenye sites lakini nashangaa alipata kisukari na maisha yake hajui kabisa maisha ya kuweka nyama kwenye friji coz kwa kipindi kile 2011 alikuwa anaishi nyumba ya udongo na haina umeme.
 
Nakumbuka kuna speech ya Late Nyerere alisema kwamba ataishi miaka 100 na ndipo Kalapini akaandika huo mstari.

Anayepanga ni Mungu ,unaweza ukafanya kila kitu kujilinda lakini ukaondoka mapema maana imeandikwa kama Bwana hatoulinda mji wake wakeshao wanafanya kazi bure.

Haujawahi kuona au kusikia jamaa amefariki amegongwa na gari alikuwa anafanya mazoezi barabarani? Lengo lake lilikuwa anafanya mazoezi ili asipate magonjwa ambayo yanayoweza kumuondoa mapema lakini ameenda barabara kufanya mazoezi anagongwa na gari anakufa mapema.

Kuna jamaa yangu aisee anafanya kazi ngumu sana za ujenzi ,kuchimba mashimo ya choo ,kulima kwenye sites lakini nashangaa alipata kisukari na maisha yake hajui kabisa maisha ya kuweka nyama kwenye friji coz kwa kipindi kile 2011 alikuwa anaishi nyumba ya udongo na haina umeme.
Kama binadamu, ni nini kifanyike ili kuongeza siku za kuishi?
 
Changamoto hapa ni kemikali zinazotumika kwenye makuzi, inawezekana huko kwao wanatumia kemikali zisizokuwa na madhara ukiringanisha na huku kwetu.
Equation x yupo mama kigamboni off course nimesahau jina lale,lakini anafuga broiler kienyeji,ana formula ya majani ya mpapai na vyakula vingine na yanakuwa makubwa tu, amezidiwa na oda!...
 
Equation x yupo mama kigamboni off course nimesahau jina lale,lakini anafuga broiler kienyeji,ana formula ya majani ya mpapai na vyakula vingine na yanakuwa makubwa tu, amezidiwa na oda!...
Unajua, changamoto zetu nyingi za kiafya zinaanzia kwenye vitu tunavyokula na kunywa, kama vitakuwa na hitilafu za kikemikali, miili yetu na viungo vyake ndivyo vinavyoharibika.

Kama mifugo inalishwa vyakula vya kukuzia visivyokuwa na madhara kwa mlaji hakutakuwa na shida.

Ila cha kujifunza, mfanya biashara yeyote anataka kupata faida.
Leo hii muuzaji wa pombe kali anataka aongeze mauzo, bila kujua wanywaji wanaunguza maini na figo.

Kwa hiyo suala la afya, linabaki kwa mtu mwenyewe binafsi.​
 
Kama hakuna tofauti, kwa nini wewe hujafa?
Mimi sijaleta hiyo hoja mfu. Huwezi kutetea hoja yako mwenyewe?

By the way hiyo ni hoja ya kifalsafa iliyokitwa katika tapo la ulimbwende (existentialism). Nilitaka tu kupima uwezo wako wa kufikiri. Ngoja niulize tena:

Hata ukifikisha hiyo miaka 100 itakusaidia nini? Kwako wewe, kuna tofauti gani ukifa leo na ukifa baada ya hiyo miaka 100?

20260803_181250.png
 
Mimi sijaleta hiyo hoja mfu. Huwezi kutetea hoja yako mwenyewe?

By the way hiyo ni hoja ya kifalsafa iliyokitwa katika tapo la ulimbwende (existentialism). Nilitaka tu kupima uwezo wako wa kufikiri. Ngoja niulize tena:
%
Hata ukifikisha hiyo miaka 100 itakusaidia nini? Kwako wewe, kuna tofauti gani ukifa leo na ukifa baada ya hiyo miaka 100?

View attachment 3642624
Mhubiri ni nani?
 
Back
Top Bottom