Happy birthday to me

Happy birthday to me

Hongera sana kwa siku ya kuzaliwa. Miaka 23 bado unajiona mtoto? Mimi mke wangu akiwa na mika 23 alikuwa tayari na watoto 2.

inategemea na mlezi ya mtu kama amekulia kijijini sawa na kama hajapata elimu ya juu
 
Uko chuo first year,class1 ulianza lin mwee...unless km ulipata matatzo ,usirelax sana,soma na tafta maisha ckuiz 22 totoz tushamaliza vyuo(course ya 3 yrs) tupo tunatafta faranga...
 
miaka 23 we ni mzee kabisa, inaonekan ume-resit sana mpaka kupata credit(hata kiingereza chako kinaonyesha hivyo). kwa miaka hiyo wenzako wakuwa wamemaliza third year.

wivu tu unakusumbua nipisheeeeeeeeeee usiniharibie siku
 
Uko chuo first year,class1 ulianza lin mwee...unless km ulipata matatzo ,usirelax sana,soma na tafta maisha ckuiz 22 totoz tushamaliza vyuo(course ya 3 yrs) tupo tunatafta faranga...

kila mtu ana mipangilio yake ya maisha hatufanani
 
Nakumbuka nilimaliza chuo undergraduate nikiwa na 23 yrs old, na hapo mimi ni wa kiume..

Sasa mdada kuwa na 23 ndio anaanza first year na bado anajiona katoto haileti logic kabisa..


But tukiachana na hayo Happy Birthday mrembo, inapendeza ukitualika na cake pia tule wote,,

kila familia ina mipangilio yake na kutangulia sio kufika
 
Hongera kwa kuzaliwa mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele, ila mamaako hajakosea wew bado ni kinda kwhyo jitahidi na masomo, mambo unayoyakuta chuoni achana nayo ni ya wakubwa, hao wanaofanya huko wanafuata mkumbo, kwhyo wew tulia usome..

ahsanteee nashukuru kwa ushauri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom