niko cbe punguzeni wivu
Itakuwa ulianza Certficate sema sio mbaya,komaa na kitabu ukitaka zawadi ya Bday nichk pm,ofisini ni karibu ya chuo chenu
hongera sana. komaa na kitabu
happy birthday.........
mbona kama umepanic? hii ndio jf inabidi uzoee comment za shombo mama. halafu unakoelekea utataja hadi jina na mahali unapoishi maana naona unafunguka sana bana
anamaanisha bado ni binti mbichi...kind of marketing strategy.
I only reach 23 years ...??? Ushauri wa bure b.day girl ... Jifunze ngeli ...
mhhhhhhh inawezekana me mnyamwezi wewe je
Umeona sasa ngoja niingie PM please
well said
afadhali umeniwahi
Wewe ndio utakuwa wa kijijini!! 23 bado upo chuo? tena first year??? yeye alimaliza elimu ya juu akiwa na miaka 22.inategemea na mlezi ya mtu kama amekulia kijijini sawa na kama hajapata elimu ya juu
Mapacha??? Au vinginevyo wewe utakuwa ni Laigwan la kule Longido!!
Wewe ndio utakuwa wa kijijini!! 23 bado upo chuo? tena first year??? yeye alimaliza elimu ya juu akiwa na miaka 22.
Wewe ndio utakuwa wa kijijini!! 23 bado upo chuo? tena first year??? yeye alimaliza elimu ya juu akiwa na miaka 22.
Duh! ngoja niondoke kwenye hii thread....najishushia heshima kuquote posts za katoto kama wewe!! Mchana mwemauuuuuuuuwi alimaliza chuo na miaka 22 baaada ya hapo alipotimiza miaka23 akawa tayari na watoto wawili ambao wamepishana one year tafuta uwongo mwingine we mwenyewe unaonekana wa kijjini