Happy birthday to me

Happy birthday to me

waooo...hap birthday ma dear..let me sing a song 4 u...
hap b.day to uuu...
hap b.day to uuu.....
hap b.day dear wewe ...
hap b.day to uuuu.....
I WISH U ALL U WISH 4 URSELF..MAY GOD BLEC U EN ENJOY UR DAY...
 
halloooo J.F naomba wimbo wa HAP B.DAY umfikie MIC NEDDY...
ujumbe mshukulu mungu kwa kukufikisha cku ya leo..mheshimu MAMA aliyekubali kukuweka tumboni miezi 9 na kukulea mpaka kufika cku ya leo...kwani wadada wengi leo hii wanatoa mimba bila kuwahulumia viumbe hawa wasio na hatia.all de best..
 
miaka 23 we ni mzee kabisa, inaonekan ume-resit sana mpaka kupata credit(hata kiingereza chako kinaonyesha hivyo). kwa miaka hiyo wenzako wakuwa wamemaliza third year.
 
Mabinti wa zamani at 23rd Birthday walikuwa bado na bikira zao intact, wewe je?

Happy Birthday binti, dunia yako chaguo lako ukimwi unaua, jiepushe na makapuya na usiwe na tamaa
 
Hongera, lakini wasichana siku hizi miaka 13 tu wamesha anza mahusiano hadi ana fika umri huo wako papuchi inakuwa imesha zeeka. Je wewe vipi iko poa?
 
Nakumbuka nilimaliza chuo undergraduate nikiwa na 23 yrs old, na hapo mimi ni wa kiume..

Sasa mdada kuwa na 23 ndio anaanza first year na bado anajiona katoto haileti logic kabisa..


But tukiachana na hayo Happy Birthday mrembo, inapendeza ukitualika na cake pia tule wote,,
 
I only reach 23 years!!!!!

Hicho chuo kitakuwa VETA lazima. Au vile vya International Advanced Diploma, Magomeni.

mwenyewe anajiona yuko sahihi labda mngemsaidia alitakiwa aandike nini badala ya 'i only reach 23 years'
 
leo i am new born
nimetimiza miaka 23 tu my mama anasemaga nisijipe presha za ajabu ajabu
nile raha za utoto kwanza
yeye ananiona bado kinda sana ukizingatia ni mtoto wa mwisho ndo
kabisaaaaaaaaaaaaaa give me hopes in my future please ukizingatia
niko chuo first year nahitaji experience kutoka kwenu wakongwe

23 this time na upo First year?.....ulisoma Ngumbaru nini?...
 
I only reach 23 years ...??? Ushauri wa bure b.day girl ... Jifunze ngeli ...

Halafu ana bahati, 23 years mwaka wa kwanza, wengine ndiyo final year walikuwa na umri huo wanahangaika kutafuta kazi. Wish you al the best my dear.
 
Umri na shule vinahusiano gan???.....
Wapo wenye miaka 50 na wapo diploma sembuse yy 1st year degree!!!
H'day......ingawa lugha ujifunze
 
Heri ya Kumbukumbu ya Kuzaliwa...

Miaka 23 si haba binti na hongera kwawaliokutunza kwa kimo na maarifa...
 
Hongera kwa kuzaliwa mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele, ila mamaako hajakosea wew bado ni kinda kwhyo jitahidi na masomo, mambo unayoyakuta chuoni achana nayo ni ya wakubwa, hao wanaofanya huko wanafuata mkumbo, kwhyo wew tulia usome..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom