Happy birthday to me

uuuuuuuuwi alimaliza chuo na miaka 22 baaada ya hapo alipotimiza miaka23 akawa tayari na watoto wawili ambao wamepishana one year tafuta uwongo mwingine we mwenyewe unaonekana wa kijjini

kwani kuna ukweli wowote we wa kijijini? nauliza kwakua nami nipo kijijini nikija jf nisiseme wa kijijini. Itaku donge tu kwa wewe kureach 23yrs. Yaani bado mbichi kabisa.
Nikikutakia HBD,
cha'
slp 10,
namikupa,
tandahimba.
 
Heri ya siku ya kuzaliwa.
ushauri:
1. Usichanganye kiingereza na kiswahili wakati wa kuandika na kuongea.
2. Jifunze afya ya uzazi
3. Jenga tabia ya kujisomea
4. Jiandae mapema kuwa mjasiliamali.
5.Kuza imani yako (mafundisho ya kiimani)
6. jifunze uwakili wa muda.
7. Fanya yote hapo juu na ushauri mwingine utaongezewa.
 
bravooooo! but dada utamaliza chuo ukiwa mzee miaka 23 1st yr tena mtoto wa kike au ulichelewa kutafuta credt za 4m 4? mama yako anakupa moyo tu wewe sio kinda ushazeeka cku hiz kinda ni miaka 14-18 tu hiyo miaka yako hiyo mi mtoto wa kiume ndo nlikua namaliza varsity ila jipe moyo utamaliza hatakama too aged.
 
inategemea na mlezi ya mtu kama amekulia kijijini sawa na kama hajapata elimu ya juu

Wewe unachekesha kweli, wewe upo mjini afu 23 ndio uko chuo mwaka wa kwanza? Afu unamuona huyo mke wa Rejao hakupata elimu ya juu??? Duuh
 
Last edited by a moderator:
bravooooo! but dada utamaliza chuo ukiwa mzee miaka 23 1st yr tena mtoto wa kike au ulichelewa kutafuta credt za 4m 4? mama yako anakupa moyo tu wewe sio kinda ushazeeka cku hiz kinda ni miaka 14-18 tu hiyo miaka yako hiyo mi mtoto wa kiume ndo nlikua namaliza varsity ila jipe moyo utamaliza hatakama too aged.

kila mtu na maisha yake unaweza ukawahi kuanza maisha na nikaja kukupita kimafanikio
 
Back
Top Bottom