Happy Birthday Mandela!

Happy Birthday Mandela!

Naomi naye inabidi asome alama za nyakati sasa its a Wrap....Done Deal for her atafute mume aolewe atulie..mambo ya kila siku kufanya vituko yeye tuu hachoki?
 
Heehee, wajipendekeze awasaidie nini?hivi uliona watu waliopinga?
Walopinga sanamu isijengwe au birthday isifanyike london?hata kama baadhi yao walipinga lkn statue ilijengwa na birthday itafanyika!
 
si kaja kuomba hela wazungu heheee.....waliokua wanamwita terrorist. Waafrika bana.
lol Huyu si gaidi kwa mujibu wa wamarekani?....kwanini asingeifanyia hata Bongo pale mnazi mmoja
 
Mimi nafikiri waingereza wame-steal the show.

Mandela alipotoka jela alikwenda Tanzania kutoa shukrani zake kwa watanzania ambao wamezisaidia sana nchi za kusini mwa Afrika kupata uhuru kutoka katika makucha ya mabeberu.

Sasa mimi naona hii ni insult mzee huyu anafanya kwa kufanya sherehe hizi katika nchi ya mbali na bara la Afrika.

Je huu ni uungwana kweli!

Come-on Mr Mandela! Anyway Happy birthday to you!
 
I recall Nelson Mandela's words, actually these words are so valuable. Have a look on them.

(CNN) -- Whether talking about his time in prison, his struggle against apartheid, his emergence as a global icon or cracking a joke about his career, Nelson Mandela's words often have a resonance far beyond their original context. Here are a few of his memorable quotes.


• On his freedom struggle: "I have walked that long road to freedom. I have tried not to falter; I have made missteps along the way. But I have discovered the secret that after climbing a great hill, one only finds that there are many more hills to climb. I have taken a moment"
On courage: "I learned that courage was not the absence of fear, but the triumph over it. The brave man is not he who does not feel afraid, but he who conquers that fear."
• On dealing with opponents: "If you want to make peace with your enemy, you have to work with your enemy. Then he becomes your partner."
• On racism: "I detest racialism, because I regard it as a barbaric thing, whether it comes from a black man or a white man."
• On negotiating: "If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart."
• On leadership: "It is better to lead from behind and to put others in front, especially when you celebrate victory when nice things occur. You take the front line when there is danger. Then people will appreciate your leadership."
• On education: "Education is the most powerful weapon which you can use to change the world."
• On freedom: "Only free men can negotiate; prisoners cannot enter into contracts. Your freedom and mine cannot be separated."
• On fame: "That was one of the things that worried me -- to be raised to the position of a semi-god -- because then you are no longer a human being. I wanted to be known as Mandela, a man with weaknesses, some of which are fundamental, and a man who is committed."
• On careers: "In my country we go to prison first and then become President."
 
Dear father, dear fighter, dear leader Nelson Mandela; congratulations on you birthday.
 
When you consider all of the indignities and injustices that have challenged Nelson Mandela, it's a miracle and a real testament to his fortitude and courage that he can still shine the light of peace. It's typical of the man's humility that on his birthday he should make this huge effort on behalf of other people. This will be one of the highlights of my life.Mandela I have never seen in my life a Good leader like you!Oooh Mandela live long life!
Happy Birthday to you,Happy Birthday dear Nelson Mandela!
Happy Birthday to you!
GOD bless you Mandela!
Thanks
Hollo
 
huyu mzee hana maana hata kidogo...aliamua kumsamehe Botha na makaburu wengine lakini alikataa kumsamehe Winnie kisa ati alikuwa ana mungunyuliwa na alihusika na kifo cha yule dogo

HILO HUWA GUMU KIDOGO, MI NAWEZA SAMEHE MENGI TU LAKINI KWA HILO AMBALO HATA MANDELA ANASHINDWA SAMEHE TUPO WENGI...!
(Hivi namba ya mandela sio 666 ?)
KWA ASOMAYE NA AFAHAMU...!
 
HILO HUWA GUMU KIDOGO, MI NAWEZA SAMEHE MENGI TU LAKINI KWA HILO AMBALO HATA MANDELA ANASHINDWA SAMEHE TUPO WENGI...!
(Hivi namba ya mandela sio 666 ?)
KWA ASOMAYE NA AFAHAMU...!

Hiyo 666 uvumi mwingi ulikuwa hivo ila alipochukua jumla mama Grace...ikabaki kuwa ni uvumi!
 
Mimi sielewi kwanini anamtoa nishai Naomi Campbell, lakini anampa steji mvuta madawa huyu;

amy-winehouse-fat-thin.jpg



c'mon, i mean c'mon

naomi_bik.jpg


Halafu anaenda kumtoa nishai Mugabe kwa wazungu, kwanini asingemtoa nishai longtime. Mimi simwelewi huyu mzee!!

Halafu bado sijasahau the fact hakuamini mtu mweusi anaweza kuwa pilot.
 
Naomi Campbell ni mwenda wazimu! Mfano kwenye hii kesi ya majuzi, ebu sikia vituko vyake!

Prosecutors said Campbell used foul language, kicked and spat at police, accused airline personnel of racism and threatened to sue them after she was told that one of her bags had not been placed on the flight to Los Angeles in April.

Campbell was traveling in first class and became abusive to the captain after he left the cockpit to personally explain to her why her bag -- and those of many other travelers -- had not been placed on the flight.

Prosecutors said she shouted a number of obscenities and tried to kick the police who were summoned to remove her after she "ordered" Sutherland to delay takeoff and look for her missing piece of luggage.



Hata kama ni issue ya madawa kuna wanaotumia vizuri lakini si huyu! Na kwa hili nampongezi Mzee Madiba kwa kumpiga chini! Mwanamke gani kila miezi sita ana kesi mahakamani!!?

Kuhusu suala la Mugabe, mara zote ameshindwa kulizungumzia akiamini kuna Mediator (ambaye ni Mbeki), kuna SADC na mwisho kuna AU kabla ya UN! Lakini cha ajabu wote hao wamekuwa wakiotoa maneno tu (oh, uchaguzi huu si wa haki!) then what?? hakuna!!

So, ni vizuri ametoa maoni yake mwishoni baada ya wale wote waliotarajiwa kutoa maoni na vitendo kushindwa kufanya hivyo! akiwemo Mwenyekiti wa AU!!!!
 
..............lady Jd Ameondoka Hapa Tukaambiwa Angeimba ....nimeangalia Wanamuziki Wote Wameimba Hadi Mwisho...hadi Wa Ivory Coast,kenya,mauritious....wa Kwetu Jd ...hakupanda...tatizo Nini...au Alipigwa Chini Dakika Za Mwisho..??? .....kwa Nini Wa Tz Hatujui Lobbying???....kama Jd Alionekana Nyimbo Zake Ni Kama Copy ...bora Celtel Wangewapeleka ,...sisi Tambala..au Parapanda Arts...
 
Naomi Campbell ni mwenda wazimu! Mfano kwenye hii kesi ya majuzi, ebu sikia vituko vyake!

Prosecutors said Campbell used foul language, kicked and spat at police, accused airline personnel of racism and threatened to sue them after she was told that one of her bags had not been placed on the flight to Los Angeles in April.

Campbell was traveling in first class and became abusive to the captain after he left the cockpit to personally explain to her why her bag -- and those of many other travelers -- had not been placed on the flight.

Prosecutors said she shouted a number of obscenities and tried to kick the police who were summoned to remove her after she "ordered" Sutherland to delay takeoff and look for her missing piece of luggage.



Hata kama ni issue ya madawa kuna wanaotumia vizuri lakini si huyu! Na kwa hili nampongezi Mzee Madiba kwa kumpiga chini! Mwanamke gani kila miezi sita ana kesi mahakamani!!?

Kuhusu suala la Mugabe, mara zote ameshindwa kulizungumzia akiamini kuna Mediator (ambaye ni Mbeki), kuna SADC na mwisho kuna AU kabla ya UN! Lakini cha ajabu wote hao wamekuwa wakiotoa maneno tu (oh, uchaguzi huu si wa haki!) then what?? hakuna!!

So, ni vizuri ametoa maoni yake mwishoni baada ya wale wote waliotarajiwa kutoa maoni na vitendo kushindwa kufanya hivyo! akiwemo Mwenyekiti wa AU!!!!

Sasa sijui umeongea nini? Ina maana tantrum na kuvuta madawa ipi bora? Role model gani ni mbovu kwa vijana wadogo? Temper is temper, some people are born with it, and you can learn to control it (with help). Now I dont know how you can explain to a young person what this is;

coke-amy.jpg


Amy turns to the soft stuff (that's vodka and whisky for her) after snubbing Mandela photocall

Naomi Campbell has achieved a lot for black people/black models. So yote aliyopitia, sio kazi ndogo, kama anakuwa na tantrums poa tu. Hata kina Mariah Carey wana tantrums.

Sasa kama wewe unashindwa kuelewa Amy Winehouse mbwia unga alikuwa pale kwaajili ya sponsors (wa kizungu), na sio Mandela alieamua Naomi asiwepo, ndo utajua kweli weusi tuna matatizo, na ndio utajua kwamba Mandela hana mpango. Na ndio maana labda utaelewa kwanini kaenda kuongelea UK. Ina maana watu wameanza kuteseka huko Zimbabwe majuzi? Watu wengine sijui wanakimbia fact kwamba barua ya Clare Short ndo ilimchanganya Mugabe. Ina maana muda wote huo Mandela alikuwa wapi?

Huyu Mandela alishindwa hata kuja kwenye mazishi ya mzee wetu Nyerere, pamoja na sisi waTanzania kuwasaidia waSA kule morogoro na mapambano yao na makaburu, basi utajua kweli huyu mzee hana mpango.

Naona wengi wanaogopa kusema mzee hana mpango, sijui mnaona dili kuficha ukweli?
 
..............lady Jd Ameondoka Hapa Tukaambiwa Angeimba ....nimeangalia Wanamuziki Wote Wameimba Hadi Mwisho...hadi Wa Ivory Coast,kenya,mauritious....wa Kwetu Jd ...hakupanda...tatizo Nini...au Alipigwa Chini Dakika Za Mwisho..??? .....kwa Nini Wa Tz Hatujui Lobbying???....kama Jd Alionekana Nyimbo Zake Ni Kama Copy ...bora Celtel Wangewapeleka ,...sisi Tambala..au Parapanda Arts...

Its all about what sponsors want to show and to who, and they wanna show someone fans can recognise etc. Ndio maana mbwia unga Amy Winehouse alikuwepo na Mandela akaona poa tu.
Mimi mwenyewe nilisubiri kwa hamu. Labda aliimba. Ni sawa sawa na MTV Europe awards for Afican nominees, huoni maartist wa kiafrika kwenye TV, kumbe wenyewe huwa wanapewa vizawadi kabla kabla kwenye kiparty kidogooo...noma. Yaani we have a long way to go.
 
Huyu Mandela alishindwa hata kuja kwenye mazishi ya mzee wetu Nyerere, pamoja na sisi waTanzania kuwasaidia waSA kule morogoro na mapambano yao na makaburu, basi utajua kweli huyu mzee hana mpango.

Nzokanhyilu,

Kitu hicho kilinisikitisha mno, lakini japo mimi sio mshabiki sana wa Mandela, bado sikumlaumu, kwa sababu nilimpa benefit of the doubt ya udhuru au vipingamizi ambavyo labda vilimfanya ashindwe kuja. I mean kuna wakati mtu unashindwa kuhudhuria hata mazishi ya Mama yako. Tena mtu kama mimi niliyeko Ughaibuni hilo nalielewa vyema tu.

Ni mpaka juzi niliposoma hapa member mmoja aliposema Mandela alikuwa anaangalia American Football wakati Nyerere anazikwa!

Sasa sijui hiyo ni kweli au vipi. Kama ni kweli, yule mtu sio mtu.
 
Kuhani,

..naomba nirekebishe kidogo. ninavyokumbuka Mwalimu alizikwa Oct 23 ambayo ilikuwa Jumamosi. Mandela alionekana akiangalia mechi ya Cowboys vs Redskins jumapili Oct 24.

Mandela, Saudi prince attend Cowboys game
Author: Jean-Jaques Taylor Staff Writer of The Dallas Morning News
Publish Date: October 25, 1999

Former South African president Nelson Mandela watched the Dallas Cowboys' victory Sunday afternoon from team owner Jerry Jones' Texas Stadium luxury box. Mr. Mandela was in Dallas as a guest of Prince Bandar bin Sultan of Saudi Arabia, a longtime friend of Mr. Jones.

He arrived at halftime, then paid the Cowboys a postgame locker room visit and spoke to several players, including cornerback Deion Sanders.

..kabla ya hapo Mandela alikuwa Israel. tena hapa tunaweza kutoa timeline kwamba Mzee Madiba alikuwa na muda tosha wa kuhudhuria mazishi ya Mwalimu.

..nakumbuka hata Madeleine Albright alikuja na kuhudhuria shughuli ya iliyofanyika uwanja wa taifa dsm.

..lakini hilo la kutokuhudhuria mazishi ya Mwalimu halina madhara kama alivyoshughulikia mgogoro wa DRC.

..Mandela alikataa kuyatambua majeshi ya Angola,Namibia,na Zimbabwe, kama sehemu ya operation ya SADC. kisingizio chake ni kwamba yeye kama mwenyekiti hakuwa consulted kabla majeshi hayo hayajatumwa DRC.

..kitendo kilikuwa kinapingana na maamuzi ya Mwenyekiti wa kitengo cha ulinzi cha SADC wakati huo Robert Mugabe. maelezo ya Mugabe yalikuwa ni kwamba mwanachama wa SADC[Congo/Kabila] amevamiwa na suala hilo ilibidi liamuliwe kwa dharura bila kusubiri kikao cha maraisi na mwenyekiti wa SADC[mandela]

..msimamo wa Mandela ndiyo uliowapa kiburi Rwanda na Uganda kufanya walivyotaka DRC. SADC ilishindwa kuzungumza kwa sauti moja. wananchi wasio na hatia zaidi ya millioni 2 wamefariki kutokana na uvamizi wa Rwanda na Uganda.

..kinachonishangaza ni kile kimya kizito cha vyombo ya habari wakati wa-Congo wanachinjwa na majeshi ya Kagame na Museveni. bila Mugabe kutuma askari wake DRC nadhani nchi hiyo ingesambaratika na sijui hali ingekuwa vipi eneo hili la maziwa makuu.


NB:

..kuna kisa cha Mugabe kukataa ombi la Mandela kwamba Wazimbabwe waliofungwa kwa kushirikiana na makaburu kushambulia ndani ya Zimbabwe wasamehewe vifungo vyao.
 
mandela hakutaka kuongelea kuhusu zimbabwe kwa sababu labda anajua media inajua kama yeye na mugabe haziivi. na alihisi kutoa maelezo yoyote kuhusu mugabe kunaweza kuchukuliwa negetively.
tatizo ni kuwa kwenda kuongea kuhusu mugabe huko nje ndio kabisa amelikoroga........
 
Back
Top Bottom