Happy Birthday Mandela!

Siku kadhaa zilizopita kulikuwa na tangazo kwenye website ya Michuzi likitujulisha kwamba Lady Jay Dee alikuwa ni miongoni mwa wanamuziki wachache kutoka bara la Afrika ambao wangetumbuiza kwenye tamasha la Birthday ya Mandela. Nilibahatika kuona highlights za hiyo concerts lakini sikuona mtu anayefanana na Jide na baada ya kupitia list ya wanamuziki walikuwa wa perfom sikuliona jina lake. Sasa najiuliza aliperform au hakuperform? na kama hakushiriki kwa nini Michuzi alieneza hizi habari za uongo na hadi leo hajazikanusha au kueleza nini kilitokea? Nia hasa ilikua ni nini?
 
wasiwasi ulionao hata mimi nilikuwa nao,tangazo nilioliona sikuona jina la lady jd,mwanamuziki pekee kutoka africa mashariki niliyeona jina lake ni bebe cool wa uganda,hivyo sina hakika kama na jide alipanda kwenye stage,ila kwenye gazeti la the the londoner newspaperniliona picha aliyopiga mandela na wasanii wote waliokuwa watapaform kwenye birthday,jide alikuwepo kwenye hiyo picha
 
wasiwasi ulionao hata mimi nilikuwa nao,tangazo nilioliona sikuona jina la lady jd,mwanamuziki pekee kutoka africa mashariki niliyeona jina lake ni bebe cool wa uganda,hivyo sina hakika kama na jide alipanda kwenye stage,ila kwenye gazeti la the the londoner newspaperniliona picha aliyopiga mandela na wasanii wote waliokuwa watapaform kwenye birthday,jide alikuwepo kwenye hiyo picha

Kwa hiyo alikwenda kupiga picha na siyo kuimba?
 
Kitendo cha kuwepo katika picha ya wasanii waliopangwa kuperform kwenye birthday ya madiba kinamaanisha kwamba alikuwa mmoja wa waliotakiwa kutumbuiza.Kwahiyo suala la kutomuona kwenye hiyo list ya waliokuwa wanaperform linajibiwa hapo inawezekana kulikuwa na oversight kwa upande wa mtu aliyeandaa hiyo list na hivyo pengine kupelekea JIDE kutoperform siku hiyo. Hakuna kuzamia kwenye mambo kama hayo!
 
mmm nasikia asingeweza kuperform LIVE kama wenzake walivyo weza kulitawala jukwaa.
Kwanza angetuaibisha angeimba nini pale????Bora walivyo mtoa angetuletea aibu TZ.
 
mmm nasikia asingeweza kuperform LIVE kama wenzake walivyo weza kulitawala jukwaa.
Kwanza angetuaibisha angeimba nini pale????Bora walivyo mtoa angetuletea aibu TZ.

true bora hakuwepo kwasababu mimi nilikuwa so nervous kwasababu yake{i watched the whole live show}..nilifikiria ataimba nini na kama ataweza kutawala jukwaa kama akina bebe cool
BIG UP TO BEBE COOL AND THE GROUP! They made me proud to be east african kwa yale waliyoongea na wimbo walioimba.
 
mmm nasikia asingeweza kuperform LIVE kama wenzake walivyo weza kulitawala jukwaa.
Kwanza angetuaibisha angeimba nini pale????Bora walivyo mtoa angetuletea aibu TZ.

kweli WABONGO MNASHANGAZA, KAMA WEWE HUJIAMINI SIYO MWENZIO. JD kama ange-perform inangeonyesha umahiri wa hali ya juu. Ni mwanamuziki mwenye uwezo mkubwa sana. NAKUSHANGAA ETI ANGELETEA AIBU TZ, fidel80 nafikiri wewe huko uliko unafanya mabomo ya aibu kwa watanzania ndiyo maana unasema hivyo, MTAKE RADHI JD na watanzania wengine umetuaibisha kwa mneno yako ya kutudharirisha.
 
mmm nasikia asingeweza kuperform LIVE kama wenzake walivyo weza kulitawala jukwaa.
Kwanza angetuaibisha angeimba nini pale????Bora walivyo mtoa angetuletea aibu TZ.

Fidel80, angekuaibisha kwa nani?!! Madiba? Au kwa wazungu unaowaabudu kama kawaida yako?!! Pole sana!
 
true bora hakuwepo kwasababu mimi nilikuwa so nervous kwasababu yake{i watched the whole live show}..nilifikiria ataimba nini na kama ataweza kutawala jukwaa kama akina bebe cool
BIG UP TO BEBE COOL AND THE GROUP! They made me proud to be east african kwa yale waliyoongea na wimbo walioimba.

Kwa falsafa yako ya kuogopa kuaibishwa kwa wazungu, na wewe ni walewale waabuduo wazungu kama Fidel80. POLENI SANA!
 
jamani mwenzeni anafanya vitu vyake huko reading,atakuwa london na kisha birmingham pale kwa madiba ni kupoteza muda wake bure.
 
kweli WABONGO MNASHANGAZA, KAMA WEWE HUJIAMINI SIYO MWENZIO. JD kama ange-perform inangeonyesha umahiri wa hali ya juu. Ni mwanamuziki mwenye uwezo mkubwa sana. NAKUSHANGAA ETI ANGELETEA AIBU TZ, fidel80 nafikiri wewe huko uliko unafanya mabomo ya aibu kwa watanzania ndiyo maana unasema hivyo, MTAKE RADHI JD na watanzania wengine umetuaibisha kwa mneno yako ya kutudharirisha.
JD ni mwanamuziki pekee anayefahamika nje ya mipaka ya TZ.
Na vilevile uliza mwanamuziki yeyote wa afrika kuhusu muziki wa TZ na wanamuziki wake, atakutajia jina la kwanza kabisa la "MAMA CAPTAIIIIIIIIN".
 
JD ni mwanamuziki pekee anayefahamika nje ya mipaka ya TZ. Na vilevile uliza mwanamuziki yeyote wa afrika kuhusu muziki wa TZ na wanamuziki wake, atakutajia jina la kwanza kabisa la "MAMA CAPTAIIIIIIIIN".

kaaazi kweli kweli, mwaka huu wadanganyika hakuna rangi tutaacha ona.
 
hakuna anayeabudu mzungu hapa.mtu aende kwenye shughuli kama bendera ya nchi halafu aharibu hata kama angekuwa anaimbia china ama india ama afrika bado ningesema the same thing kuwa anaaibisha tz..mimi point yangu ni kuwa..wanamuziki wa kibongo bado naona hawajafikia kiwango cha kuridhisha[bongo flava] from my point of view
halafu mimi ni mmoja wa fans wakubwa wa jd ndo maana nilisema kuwa nilikuwa nervous for her.
well on the positive side..i think vitu kama hivi ndo vingewaendeleza.lakini kwanini jd sasa hakutokea? ama alichujwa?
 
People,

Lets be serious for a minute.

Jay Dee angeimba wimbo gani sasa pale?
 
mmm nasikia asingeweza kuperform LIVE kama wenzake walivyo weza kulitawala jukwaa.
Kwanza angetuaibisha angeimba nini pale????Bora walivyo mtoa angetuletea aibu TZ.

Hizo ni dalili za wivu wa wasiopenda maendeleo ya watu. Mbona hukuchaguliwa wewe!!!!!!!!!
 
People,

Lets be serious for a minute.

Jay Dee angeimba wimbo gani sasa pale?

Kilichokuwa kinaenda kufanyika pale sio Jay Dee kuimba wimbo wake, ilikuwa ni vikundi vya wanamuziki kutoka nchi tofauti tofauti kutunga wimbo wa pamoja na kutumbuiza kwenye hiyo birthday part ya mzee Mandela. Na maelekezo ya huo wimbo yalitolewa na waandaaji wa hiyo shughuli.

Nadhani nimekujibu.
 
Lady Jay Dee cannot hold a note other than her signature never ending choir like chorus. Fascinating experiment, but hardly a prima donna, not even a starlet.

Ndiyo maana anakuwa anafanya vizuri sana anapofanya featuring na watu lakini akiimba mwenyewe..... yuck!

This being a group thing, angeweza kufanya vizuri.
 
hakuna anayeabudu mzungu hapa.mtu aende kwenye shughuli kama bendera ya nchi halafu aharibu hata kama angekuwa anaimbia china ama india ama afrika bado ningesema the same thing kuwa anaaibisha tz..mimi point yangu ni kuwa..wanamuziki wa kibongo bado naona hawajafikia kiwango cha kuridhisha[bongo flava] from my point of view
halafu mimi ni mmoja wa fans wakubwa wa jd ndo maana nilisema kuwa nilikuwa nervous for her.
well on the positive side..i think vitu kama hivi ndo vingewaendeleza.lakini kwanini jd sasa hakutokea? ama alichujwa?

Bado una safari ndefu mheshimiwa!
 
Back
Top Bottom