Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35622&stc=1" attachmentid="35622" alt="" id="vbattach_35622" class="previewthumb" /><br />
ndio kazawadi kangu hako kwa ajili ya birthday yako Cheers!
dah, wifi, thanks so much aisee. im honoured of the way u think of me. lol,i remember that late night when i found u (and the boss ofcoz). inabidi leo bday gal nae afunge ili futari iingie kiuzuri. hiyo keki iwe black forest tena homemade basi...yaani na sala ya alasiri ntakuwa hapo kwako,bunduki ntaacha home nibebe mswala
Hongera kwa siku yako ya kuzaliwa King'asti (Damn, majina mengine kuyataja shurti uwe umeshiba)
Mungu akuongezee miaka mingine mingi, uishi mpaka uwaone wajukuu wa wanao.
Ujaliwe kupata watoto wengi waizunguke meza yako wakati wa chakula, akuongezee maarifa na juhudi uweze kuhangaika kuwatafutia chakula wale mpaka wasaze. Ili wakuimbie wimbo wa siku yako ya kuzaliwa wakati ukizima mshumaa wako wa 75.
Samahani kiinglishi hakipandi kwahiyo sijui kama haya maombi na hizi heri nlizokutakia kama zina mashiko kwa Griit Thinkaz.... Ila namini Mungu amezipokea.
King'asti (damn jina hili bana) na AshaDii semeni Amina. Kwa herufi kubwa.
Hakika umesamehewa dhambi zako. Enenda kwa amani, usitende tena dhambi.Neno la ODM halipingwi!!! Nasema AMINA.....
Duh! Kumbe connexions hapa JF ni balaa....
Happy Birthday King, I wish you success and love for tihs new year, may all your resolutions materialize and all your dreams come true. Nakutakia maisha marefu yenye fanaka na furaha.
View attachment 35621
Mie nauliza tu, hivi huyu AshaDii ndio anetunza kalenda za Anniversarry za watu wa jukwaa la MMU? maana hata miaka 30 ya ndoa ya Faiza Foxy alitujuza yeye huyu.
Am just asking........
Yeye ndo mwenyekiti wa kamati ya sherehe za Birthday na Anniversaries za wanachama hai wa MMU......
Unakaribishwa kujiunga..... Hakuna kokoro, kiingilio wala ada. Sharti ni moja tu: Hakuruhusiwi mastress wala matusi jukwaani.
Imetolewa na Utawala,
Imesainiwa na: Babu ODM kwa niaba ya MMU members kwa hisani ya AshaDii.
Leo 19/08/2011 Siku ya bethdei ya mwanachama hai King'asti (Damn jina gumu hili, khaa)
(La kutokupatikana pale ODM anapokuhitaji the most):angry:Na hio ni kauli ya ODM.... Thank you..... (hivi nimetenda dhambi gani vile?? lol)
And you know where to find me, don't you shem?Yaani hii post i will tresure for ever katika hiyo heshima kubwa nilopewa..... Dah!
Asante ODM.... Naamini nikikwama utakua unaniongoza kwa ushauri wa hapa na pale...lol
Shhhhhhh..........kuna watu wana digrii za majilaz hapa LOL hawachelewi kuiloga skriin yako hapo isionyeshe posts za ODMJamani... How do i jitetea hapa.... Dah! Just know kiroho i was with you thus the ujumbe via another....