Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,516
Hommie inaelekea we hujafunga, nimesema linakuwa gumu ukiwa na njaa.......... na unajua tena swaumu na jua hili ilivyo kali.... Sijaona sehemu ukimsalimia shem wangu.....Hii tabia umeanza lini?Happy Birthday My dear King'asti (nashangaa babu ODM kusema eti jina gumu hili)
Me na Mpenzi wangu AshaDii tunakuandalia bonge la futari leo.,, na madamu umeahisi kutokuja na AK47 basi hata waoga waoga kama Kina TF na Kimey watakuwepo (kimey hatakuwa peke yake, supposedly)
I wish you many happy days ahead,