Niliishakustukia kitamboKhaaa!
Weka pilipili nyingi kwenye msosisasa tutamkwepaje? manake he is too smart bana. unamfundisha mtoto uchoyo ujue,tabia mbaya!
<br />
<br />
Nisalimie Loner lol!!!Happy Birthday King'asti.....Mungu akupe maisha marefu uzidi kung'ara.........
dah, wifi, thanks so much aisee. im honoured of the way u think of me. lol,i remember that late night when i found u (and the boss ofcoz). inabidi leo bday gal nae afunge ili futari iingie kiuzuri. hiyo keki iwe black forest tena homemade basi...yaani na sala ya alasiri ntakuwa hapo kwako,bunduki ntaacha home nibebe mswala
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Happy Birthday King'asti.....Mungu akupe maisha marefu uzidi kung'ara.........</span></font></font>
<br />Niliishakustukia kitambo<br />
<br />
<br />
Weka pilipili nyingi kwenye msosi
Hicho tu ndo waweza kukisema juu yangu?sasa tutamkwepaje? manake he is too smart bana. unamfundisha mtoto uchoyo ujue,tabia mbaya!
<br />
<br />
<br />Duh! Kumbe connexions hapa JF ni balaa....<br />
Happy Birthday King, I wish you success and love for tihs new year, may all your resolutions materialize and all your dreams come true. Nakutakia maisha marefu yenye fanaka na furaha. <br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35621&stc=1" attachmentid="35621" alt="" id="vbattach_35621" class="previewthumb" />
Kwenye upishi usiwe na wasiwasi, hivi kwa siku utakuwa unahitaji pampers ngapi vileee???hivi mpishi wa leo ni mimi ama ww? mie mtoto,ntaungua banaa!
<br />
<br />
<br />Hicho tu ndo waweza kukisema juu yangu?
Namshukuru Mungu aliye juu kwa kukuumba mwanamke. Ungekuwa mwanaume mimba mtaani zisingehesabika..... mtoto una maneno matamu ya kutongozea sijapata ona. Hebu nrushie mengine kwenye PM nikayafanyie kazi........LOLbabu,nikisema yote juu yako, hata mbingu ziwe karatazi na maji ya bahari yawe wino, havitatosha. hata miti yote itumike kutengeneza kalamu zitachakaa na kuisha kabla sijamaliza kuandika vyote! too smart inaonesha sijui nielezeeje!
<br />
<br />
<br />Namshukuru Mungu aliye juu kwa kukuumba mwanamke. Ungekuwa mwanaume mimba mtaani zisingehesabika..... mtoto una maneno matamu ya kutongozea sijapata ona. Hebu nrushie mengine kwenye PM nikayafanyie kazi........LOL
Mjukuu naye mkorofi, hivi anayemwambia mwenzie sorry ni babu au bibi?hahaha,ningeumbwa mwanaume ningeringa ile mbaya. ninge-concentrate kwa mdada mmoja tu,nimpende kwa akili hadi achanganyikiwe. and i wld dare u umtokee uone majibu utakayopewa,lol! nikianza kukuibia kwenye pm utadata ukanisemee kwa bibi buree! akhuu,staki. kwanza ushamuambia mjukuu wako kule kwenye 'sorry' unavyommwagia bibi chozi?
<br />
<br />
<br />Kwenye upishi usiwe na wasiwasi, hivi kwa siku utakuwa unahitaji pampers ngapi vileee???
<br />Mjukuu naye mkorofi, hivi anayemwambia mwenzie sorry ni babu au bibi?
<br /><span style="font-family: comic sans ms">Let your life be full of positives things... abundantly...<br />
Birthday wishes from RR, to King'asti.</span>