Happy birthday Edward Lowassa

Happy birthday Edward Lowassa

Happy Birthday The Mastermind, Laigwanan Mkuu, Edward Ngoyai Lowassa, The Next President Of United Republic Of Tanzania.

May Almight God Be With U All The way.
 
duh ni wa 1953 kumbe, ina maana hata jk ni mkubwa kwa lowassa, mbona kazeeka hivyo, whats wrong with him??? I can't imagine, let us be seriuos? Why yuko vile

Nothing wrong with him. The only wrong thing is your brain iliyojaa wadudu!!!.
 
Mbona anaokena ni mzee sana? Kumbe ni wa 1953 tu?

Anasumbuliwa na maradhi yanayomfanya aonekane kama mtu wa miaka 90?

Unayesumbuliwa na maradhi ni wewe. Kwani wewe hujioni. Hebu cheki picha yako, utafikiri libibi la miaka sabini. Mama mzima lakini hovyo. Shame on you!!!
 
happy birthday. Mungu akujalie afya njema na awezeshe kila lililojema liwe upande wako mbele ya safari.
 
duh ni wa 1953 kumbe, ina maana hata jk ni mkubwa kwa lowassa, mbona kazeeka hivyo, whats wrong with him??? I can't imagine, let us be seriuos? Why yuko vile[/QUOTE
mkuu kwa ufahamu wangu wangu genetics za binadamu na miili iko tofauti na hali hiyo inasababisha muonekano tofaut na pia kitendo cha kuzeeka huwa tofaut pia
 
Hongera Rais Lowassa!

I dedicate this song to you!

 
Last edited by a moderator:
IMG-20141015-WA0003.jpg 1421293702032.jpg
 
Happy Birthday Edo, sina cha kukupa zaidi ya hii keki ili ikutie nguvu utuongoze katika kazi ngumu kabisa kupata kutokea nchi hii ya kuliondoa dubwasha moja iljulikanalo kama CCM. Tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ajili ya dubwana hili kushindwa kutumia kodi zetu vizuri kutupatia madawa hospitalini, maji safi, elimu bora na hata makazi ya kufaa binadamu.
Ni miezi miwili migumu sana iko mbele yetu hasa katika kuwabadili wale watu waliolishwa limbwata kuweza kufunguka macho yao na masikio na kuelewa wachawi wao ni nani.
 
Happy Birthday Edo, sina cha kukupa zaidi ya hii keki ili ikutie nguvu utuongoze katika kazi ngumu kabisa kupata kutokea nchi hii ya kuliondoa dubwasha moja iljulikanalo kama CCM. Tumepoteza ndugu zetu wengi kwa ajili ya dubwana hili kushindwa kutumia kodi zetu vizuri kutupatia madawa hospitalini, maji safi, elimu bora na hata makazi ya kufaa binadamu.
Ni miezi miwili migumu sana iko mbele yetu hasa katika kuwabadili wale watu waliolishwa limbwata kuweza kufunguka macho yao na masikio na kuelewa wachawi wao ni nani.

ImageUploadedByJamiiForums1440571481.485236.jpg
 
Heri ya kuzaliwa Laigwanani.
We ndio yule tuliyekuwa tunamngojea.
Karibu uendelee kuishi miaka mingine 30. 10 ya uongozi uliotukuka na 20 mingine ya kushuhudia uongozi wako ulioweka misingi ya kweli ikifanya kazi na kuwaona watanzania wakiishi kwenye nchi ya maziwa na asali.
 
Happy Birhday: Mweshimiwa Rais, sote kwapa moja tunakutakia kila na kheri katika safari yako ya MABADILIKO NJE YA CCM

usiogope MUNGU yupo pamoja na wewe songa mbele kwani watanzania wote tunakuunga mkono,
 
Happy birthday ENL; walk tall; head held high, with confidence and fortitude as you spearhead the second liberation of our country; kutoka mikononi mwa mkoloni mweusi na mwizi CCM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom