Happy birthday Edward Lowassa

Happy birthday Edward Lowassa

Happy birthday rais wangu wa moyoni Edward Ngoyai Lowassa.
Mungu akupe maisha marefu, afya njema na moyo wako huohuo wa kutukomboa Watanzania kutoka kwenye umasikini unaotutafuna hivi sasa.
Pia nakuombea ushindi wa kishindo hapo October huku mimi pia nikiwa ni mmoja kati ya watakaosababisha ushindi wako kwani kura yangu ni kwako.

nakupenda Rais wetu nakupenda mtu wetu wa mabadiliko ya ukweli
 
ulipo tupo tupo nawewe katika furaha hii mungu akupe kila lakheri mr RAIS
 
LOWASSA PRESIDENT.jpg happy birthday the upcoming president of Tanzania. Mungu akulinde na kukutunza. watanzania wanakupenda sana na tunasubiri kwa hamu matokeo ya ushindi wako.
 

Attachments

  • EDDO 2.jpg
    EDDO 2.jpg
    7.2 KB · Views: 288
Unayesumbuliwa na maradhi ni wewe. Kwani wewe hujioni. Hebu cheki picha yako, utafikiri libibi la miaka sabini. Mama mzima lakini hovyo. Shame on you!!!

Nnaona yamekuingia, rudia...

Mbona anaokena ni mzee sana? Kumbe ni wa 1953 tu?

Anasumbuliwa na maradhi gani yanayomfanya aonekane kama mtu wa miaka 90?
 
Comrade, It Is Your Birth Day You Remember That? On 26 of August Of 1953 for the first time you saw the wonders of this planet, i salute you my president!
 
Happy birthday comrade..keeping going on future president.. we prayn for the dream to become true
 
Nnaona yamekuingia, rudia...

Mbona anaokena ni mzee sana? Kumbe ni wa 1953 tu?

Anasumbuliwa na maradhi gani yanayomfanya aonekane kama mtu wa miaka 90?

We Faiza Ajuza mbona wewe MAKU yako imezungukwa na MVI lakini mimi sijali naendelea kukugegeda?.Anyway HAPPY BIRTHDAY TO OUR BELOVED PRESIDENT
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom