Happy birthday Edward Lowassa

Happy birthday Edward Lowassa

Pongezi za dhati kwa kuazimisha siku yako ya kuzaliwa mpendwa mh. Lowasa.

Mola akupe afya na nguvu na akutangulie katika mafanikio yako,
akujaalie busara zaidi na maisha marefu.
 
Happy birthday raisi mtalajiwa... tunakuombea kila siku.... mfumo wa ccm umetuacha masikini kabisa....
 
Happy birthday MHE. EDWARD NGOYAI LOWASA nakuombea Mungu azidi kukupa hekima na maisha marefu.
 
Tarehe 26 August 1953, Mheshimiwa rais mtarajiwa alijaliwa kuliona jua. Naomba wapenzi, mashabiki na wote wanaoitakia nchi yetu neema, baraka na fanaka, tujumuike kwa pamoja kumtakia Ndugu Mh. Lowasa heri ya kuzaliwa.

NB. Ifikapo saa sita kamili usiku, naomba makamanda wote tumimine salam zetu za kuzaliwa kupitia uzi huu.

Mods tafadhali, tunaomba kwa kumuheshimu mh. Uzi huu usitolewe.

Happy birthday Mh. Lowasa.

HBD Rais wa awamu ya tano.
 
duh ni wa 1953 kumbe, ina maana hata jk ni mkubwa kwa lowassa, mbona kazeeka hivyo, whats wrong with him??? I can't imagine, let us be seriuos? Why yuko vile

ji discuss kwanza ww mwenyewe mbona hauendani na miaka yko! Rais wetu ajaye ni mpyA kukiko huyo jk wko
 
9276356d94422faaa41f9a57e00e788a.jpg
 
Mbona anaokena ni mzee sana? Kumbe ni wa 1953 tu?

Anasumbuliwa na maradhi yanayomfanya aonekane kama mtu wa miaka 90?
 
Happy Birthday Your Excellence Mr President Edward Lowassa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom