duh ni wa 1953 kumbe, ina maana hata jk ni mkubwa kwa lowassa, mbona kazeeka hivyo, whats wrong with him??? I can't imagine, let us be seriuos? Why yuko vile
duh ni wa 1953 kumbe, ina maana hata jk ni mkubwa kwa lowassa, mbona kazeeka hivyo, whats wrong with him??? I can't imagine, let us be seriuos? Why yuko vile
duh ni wa 1953 kumbe, ina maana hata jk ni mkubwa kwa lowassa, mbona kazeeka hivyo, whats wrong with him??? I can't imagine, let us be seriuos? Why yuko vile
"Ni marufuku wagombea kusherehekea birthday" by Kova
na wewe ni mpu.... Lowassa kaaanza kuot mvi tangu 1985 akiwa na miaka 32. "Shut up"
Tarehe 26 August 1953, Mheshimiwa rais mtarajiwa alijaliwa kuliona jua. Naomba wapenzi, mashabiki na wote wanaoitakia nchi yetu neema, baraka na fanaka, tujumuike kwa pamoja kumtakia Ndugu Mh. Lowasa heri ya kuzaliwa.
NB. Ifikapo saa sita kamili usiku, naomba makamanda wote tumimine salam zetu za kuzaliwa kupitia uzi huu.
Happy birthday Mh. Lowasa.