Happy Birthday Doctor @Asprin

Happy Birthday Doctor @Asprin

Duuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhh,

Kumbe ukiwa na wajukuu na wewe unaweza kugeuzwa dotcom....

Mwaka 1947 haya mambo yangetokea wapi?

Hongera zako mzee mwenzangu Asprin,

Ila itabidi tutete kwa kung'atana sikio...kwa nini watu wengi walizaliwa January (..naanza sasa kufanya hesabu: January - 9months =......)!! Hapa kuna jambo special, siyo bure!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Hepi basdei Komredi.

Sijui utakuwa umefikisha umri gani lakini nna uhakika umenizidi. Mi nna miaka 64 sasa.
 
Naona km vile unatumia advantage ya uchanga wangu kukusanya vifaranga vyangu. Usisahau mi nakua kwa sekunde. Mpk ifike saa moja nakuwa nshabalehe

hahaha....ndio maana nataka kutangulia kwa baiskeli ya barafu.....jua litawaka muda si mrefu shehe
 
Duh, mkuu umekula chumvi mingi aisee....!!!!!!!!

Africa_old_man.JPG

heri ya kuzaliwa kwa kwake babu asprin
 
Heri ya siku ya kuzalia Asprin Mungu akujalie afya njema na maisha bora
 
Last edited by a moderator:
Hepi basdei Komredi.

Sijui utakuwa umefikisha umri gani lakini nna uhakika umenizidi. Mi nna miaka 64 sasa.

Komredi mbona sijakuona kwenye maandamano ya kudai mafao ya Jumuiya ya Afrika Mashariki?

Isije ikawa na wewe ni uzao wa enzi ya Ocean Road Hospital. Isije ikawa we ni uzao wa kwenda kuchungulia wakubwa tukidansi Silent Inn Mwenge.
 
Duuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhh,

Kumbe ukiwa na wajukuu na wewe unaweza kugeuzwa dotcom....

Mwaka 1947 haya mambo yangetokea wapi?

Hongera zako mzee mwenzangu Asprin,

Ila itabidi tutete kwa kung'atana sikio...kwa nini watu wengi walizaliwa January (..naanza sasa kufanya hesabu: January - 9months =......)!! Hapa kuna jambo special, siyo bure!

Babu DC!!

Mzee mwenzangu, wajukuu wa sasa sio kama enzi zetu. Nimejikuta tu nimeandaliwa tafrija ya siku ya kuzaliwa. Wameiita Golden Jubilee eti. Mzee mwenzio hata sikukumbuka kama leo ndo tarehe yangu ya kuzaliwa. Sijui wameichimba wapi yailah toba.
 
Last edited by a moderator:
Komredi mbona sijakuona kwenye maandamano ya kudai mafao ya Jumuiya ya Afrika Mashariki?

Isije ikawa na wewe ni uzao wa enzi ya Ocean Road Hospital. Isije ikawa we ni uzao wa kwenda kuchungulia wakubwa tukidansi Silent Inn Mwenge.

Silent Inn mwaka 1987 nilikuwa baunsa kwenye show ya Tabu Ley na Mbilia Bel walipokuja kwenye tour yao ya bongo.

Siku zingine nilikuwaga mchukua pesa mlangoni siku ambazo Muungano Ngoma Troupe walikuwa wanafanya show na mijoka yao.

Unazikumbuka hizo enzi komredi?
 
Silent Inn mwaka 1987 nilikuwa baunsa kwenye show ya Tabu Ley na Mbilia Bel walipokuja kwenye tour yao ya bongo.

Siku zingine nilikuwaga mchukua pesa mlangoni siku ambazo Muungano Ngoma Troupe walikuwa wanafanya show na mijoka yao.

Unazikumbuka hizo enzi komredi?

Hahaha komredi umekumbusha mimi mbali sana.... Kumbusha mimi enzi za UDA kabla chai maharage hazijakamata dili. Konda wa uda akikamata nauli yangu ilikuwa lazima awe mjanja sana. Mekumbuka nlivokuwa nadunduliza vijisenti ili nikaangalie movie Avalon na New Chox. Hivi pale Ulipo ubalozi wa Marekani kwa sasa palikuwa panaitwaje? Nimejifunzia sana kucheza basketball pale.
 
I was searching for the perfect way for wishing you a happy birthday,
that I totally lost track of time…
So now I need to wish you a happy belated birthday,
don't say that I didn't try…
....

funny-birthday-quotes-pictures.jpg


Naona KakaKiiza ana mu alert rafikiye babu Asprin kuwa amezeeka sasa, lakini haka ka babu kabishii, ona kalivyojibu sasa.......
Hapy birthday Asprin, long live my dearest
 
I was searching for the perfect way for wishing you a happy birthday,
that I totally lost track of time…
So now I need to wish you a happy belated birthday,
don’t say that I didn’t try…
....

funny-birthday-quotes-pictures.jpg


Naona KakaKiiza ana mu alert rafikiye babu Asprin kuwa amezeeka sasa, lakini haka ka babu kabishii, ona kalivyojibu sasa.......
Hapy birthday Asprin, long live my dearest

Hahaha why belated my darling? Bado niponipo leo bhana.

BTW mi na KakaKiiza hatujakutana supamaketi. Ukome kutupakazia.

Thanx for the wish my dear, usikose kuja kunizika siku zangu zikifika. Naisikia harufu ya kaburi na dongo tani saba juu yangu. Najaribu kukumbuka miaka 25 iliyopita nikiwa nna miaka 50... Very young and energetic. Sahiz hata ukinijia without, baioloji wala haistuki, labda isaidiwe na porn movie ya anal sex lol
 
Last edited by a moderator:
Hahaha why belated my darling? Bado niponipo leo bhana.

BTW mi na KakaKiiza hatujakutana supamaketi. Ukome kutupakazia.

Thanx for the wish my dear, usikose kuja kunizika siku zangu zikifika. Naisikia harufu ya kaburi na dongo tani saba juu yangu. Najaribu kukumbuka miaka 25 iliyopita nikiwa nna miaka 50... Very young and energetic. Sahiz hata ukinijia without, baioloji wala haistuki, labda isaidiwe na porn movie ya anal sex lol

Ha ha ha ha ahaaaaa yani wewe mzeee wewe basi tena.
Siku hiyo nitakuja na udongo wangu spesheli kenta moja.
Kwa hiyo babau we asaivi joka la kibisa?
 
Back
Top Bottom