Ha ha ha ha ahaaaaa yani wewe mzeee wewe basi tena.
Siku hiyo nitakuja na udongo wangu spesheli kenta moja.
Kwa hiyo babau we asaivi joka la kibisa?
Happy babu!
Ushindwe na ulegezwe. Nyambaf, hafi n'tu apa!!!!
Kumbe waogopa kufa eeh.
Una bia ya ngapi hadi sasa?
Wish u a happy and long life
Mnyonyo umeukimbia nipo moroko!
Leo staki dhambi. Natumia grants...
Uwiii grants si ndo balaa, kachupa kadogo au jichupaa?
Sijui km ni kadogo au kubwa. Ila imeletwa na glass yake juu. Nikaibikiri.
Jichupa hilo..nasikia huwa zikashabadilisha stimulus, zimakimbilia kunako....bado huja hisi hisi?
Sijajua ila nahisi kama boxer imeotesha puto.....
Muwahi wife home pleaseeeee
Happy birthday @aspirin