Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,150
- 4,714
Soon mtekaji atatekwa
Hadi upite na usafiri binafsi ndipo utawaona vipi wengine wakiwa kwa bus hawataona?Nimepita saa kumi na Moja asubuhi na usafiri binafsi hapo mlima kitonga nimeona Kuna watu hawaeleweki wamevaa kininja ni wengi halafu Wana silaha aisee mpaka nikataka kugeuza safari wakaniambia pita hakuna shida Kuna nini kinaendelea aisee hii nchi mbona ishakua shida.
Mnaopita kitonga na usafiri wa binafsi nafikiri mtakua mmeliona hili halafu hawana gwanda