Hapo mlima Kitonga mbona kuna watu hawaeleweki aisee

Hapo mlima Kitonga mbona kuna watu hawaeleweki aisee

Arsenal Gunner

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,891
Reaction score
17,696
Nimepita saa kumi na Moja asubuhi na usafiri binafsi hapo mlima kitonga nimeona Kuna watu hawaeleweki wamevaa kininja ni wengi halafu Wana silaha aisee mpaka nikataka kugeuza safari wakaniambia pita hakuna shida Kuna nini kinaendelea aisee hii nchi mbona ishakua shida.

Mnaopita kitonga nafikiri mtakua mmeliona hili halafu hawana gwanda
 
Nimepita saa kumi na Moja asubuhi na usafiri binafsi hapo mlima kitonga nimeona Kuna watu hawaeleweki wamevaa kininja ni wengi halafu Wana silaha aisee mpaka nikataka kugeuza safari wakaniambia pita hakuna shida Kuna nini kinaendelea aisee hii nchi mbona ishakua shida.

Mnaopita kitonga na usafiri wa binafsi nafikiri mtakua mmeliona hili halafu hawana gwanda
Wazanzibar hao ndiyo walio muua MC pilipili hao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom