- Thread starter
- #21
Basi someni kwanza hayo mabuku yenu makubwa..Hizo swaga za mapenzi zitakuja mkimaliza chuo
tutaambulia makombo, we need fresh meat.
Basi someni kwanza hayo mabuku yenu makubwa..Hizo swaga za mapenzi zitakuja mkimaliza chuo
Na hao ndo madaktari wetu
na mimi ninayo hayo madude yanayoitwa Swaga?
Nina pata wakati mgumu kuamini upo Muhimbili College..No wonder mnapasua watu vichwa badala ya mguu..... sasa hapa unatupa taarifa au unataka tujadili mada au unahitaji ushauri?
tutaambulia makombo, we need fresh meat.
Wana jf habari zenu za jioni, huku muhimbili tnateseka wenzenu, msituone tunagraduate kuwa madoctor mkazani sisi ndo sisi. Kiukweli kuna mambo ya kimaisha mojawapo ikiwa mapenzi yamekuwa challange kubwa sana. Kuna jamaa tuko nae hana swaga, (wanawake wamekuwa wakimwambia) ataweza pata mpenzi kweli kama ni poor convertionilist?
Wana jf habari zenu za jioni, huku muhimbili tnateseka wenzenu, msituone tunagraduate kuwa madoctor mkazani sisi ndo sisi. Kiukweli kuna mambo ya kimaisha mojawapo ikiwa mapenzi yamekuwa challange kubwa sana. Kuna jamaa tuko nae hana swaga, (wanawake wamekuwa wakimwambia) ataweza pata mpenzi kweli kama ni poor convertionilist?
mambo safi, japo kiasiHivi wewe umeshaweza kujua maneno ya kuongea na yule msichana wako?
Mmmmh...!! Hapo ulivyoiongelea muhimbili...!!..
Hilo ni tatizo la mtu binafsi wala halihusiani kabisa na kuwa doctor..!! Kuna madaktari wana swaga balaaa..!
Naomba kuuliza wenzangu nyie mkongo mnaupata?
Naomba kuuliza wenzangu nyie mkongo mnaupata?
Mtei hadi huku unafika? Usilete Swaga kwenye Maandamano yenu
mi swaga zako tu nazimia
Naomba kuuliza wenzangu nyie mkongo mnaupata?
Kumbe!?mie sikujua mwaya loya wangu wa ukweli..
Mkongo ndo nini arifu?
Ni kitu gani hicho mkongo?