ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,346
- 8,565
Mmh The Boss, swaga zako tu, mi hoi
hili neno sasa linachosha masikioni
way overused
hili neno sasa linachosha masikioni
way overused
Wana jf habari zenu za jioni, huku muhimbili tnateseka wenzenu, msituone tunagraduate kuwa madoctor mkazani sisi ndo sisi. Kiukweli kuna mambo ya kimaisha mojawapo ikiwa mapenzi yamekuwa challange kubwa sana. Kuna jamaa tuko nae hana swaga, (wanawake wamekuwa wakimwambia) ataweza pata mpenzi kweli kama ni poor convertionilist?
swaga kwa matumizi ya vjana wetu, inamaanisha namna ya kuwasiliana pamoja na kujiweka in a way that unakuwa na sexual attraction kwa opposite sex.
Na mie ninazo? Mpaka sa hv ushazmia mara ngap?
Kazi kweli kweli kina Kaka kwani uvaaji ndio nimpende Mtu? au kuwa na nyumba ?swaga ni kwenda sambamba na mitindo ya kisasa ya maisha ya kila siku kama mavazi burudani vinywaji starehe nk
Hata hizi pia mi naziona ni swaga zakoHana swagga kivipi wakati jamaa ni kichwa? Kufika kusomea utabibu Muhimbili is no mean feat.
Mpaka hapo alipofikia ni swagga tosha kabisa. Hahitaji hata kuhonga kama ilivyo kwetu sisi wabeba maboksi.
Halafu hakuna mtu asiye na swagga kwa sababu kila mtu ana swagga zake.
Hata hizi pia mi naziona ni swaga zako
Mmh The Boss, swaga zako tu, mi hoi
Nina pata wakati mgumu kuamini upo Muhimbili College..No wonder mnapasua watu vichwa badala ya mguu..... sasa hapa unatupa taarifa au unataka tujadili mada au unahitaji ushauri?
na mimi ninayo hayo madude yanayoitwa Swaga?