mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,634
- 8,295
..Msikilizeni ktk mahojiano haya.
Zanzibar kuchelee !!
Hapo sasa !!Kuaminika kwa nani?!!!
Wananchi ndo wanaamua kupitia sanduku la kura..
Je, kukiwa na Tume Huru ya Uchaguzi wapiga Kura wakachagua upinzani wewe utafanya nini?!!!
Ajabu kwani wengine wamekuwa wakiishije miaka yote !! Au wengine wamezoea kula mapochopocho na wengine waendelee kula michembo siku zote za maisha yao !! ?Wafanye kazi