rashid

Richard Farris Rashid is the founder of Microsoft Research, which he created in 1991. Between 1991 and 2013, as its chief research officer and director, he oversaw the worldwide operations for Microsoft Research which grew to encompass more than 850 researchers and a dozen labs around the world.Before joining Microsoft in 1991, Rashid had been the developer of the Mach kernel during his tenure as a professor of computer science at Carnegie Mellon University. The Mach multiprocessor operating system kernel developed by Rashid has had a lasting influence in the design of modern operating systems, including the design of Windows NT, and remains at the core of several operating systems such as NeXTSTEP, GNU Hurd, macOS, iOS, OSF/1, and Tru64 UNIX.Rashid's Mach kernel pioneered the concepts of microkernel architecture and its impact can be traced in today's computing landscape with hundreds of millions of people still using Mach based operating systems thirty years after its creation. The Mach project popularized and refined concepts in virtual memory management, hardware abstraction, binary-code compatibility, and process management. These concepts advanced the state of operating systems and led to their practical and widespread adoption.Under Rashid’s leadership, Microsoft Research has conducted research across various disciplines that include machine learning; multimedia and graphics, security, search, gaming, networking, artificial intelligence and human-computer interaction. His team has collaborated with the world’s most prominent researchers in academia, industry and government to advance the state of computing and to help secure the future of Microsoft’s products.Rashid has authored a number of patents in areas such as data compression, networking, and operating systems, and was a major developer of Microsoft's interactive TV system.
He was promoted to vice president in 1994. In 2000, he became senior vice president of Microsoft.Rashid was elected a member of the National Academy of Engineering in 2003 for advances in operating systems and leadership in industrial research.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    TCCIA Manyara yasema Ramadhani Rashid Msangi aliyehukumiwa kughushi nyaraka sio muajiriwa wao

    Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Kilimo Mkoa wa Manyara (TCCIA Manyara) kimeeleza kuwa taarifa zilizosambaa mitandaoni zikimtaja mshauri wa biashara na mwajiriwa wa TCCIA Manyara, Ramadhani Rashid Msangi aliyehukumiwa kwenda jela miaka 3 au kulipa faini ya shilingi 900,000 kwa kosa la...
  2. Adilinanduguze2

    Buriani Rashid Mbuguni, Mzalendo aliyedhulumiwa kiwanda amekufa hajaona haki

    Rashid Mbuguni Afariki Dunia. Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kuondoka duniani kwa Ndugu Rashid Mbuguni. Apumzike Kwa Amani. Maggid Luqman Maloto anaandika: Luqman Maloto “MZALENDO ALIYEDHULUMIWA KIWANDA AMEKUFA HAJAONA HAKI NAKUMBUKA mwaka 1999. Mara ya kwanza naingia chumba cha...
  3. Mohamed Said

    Buriani Rashid ''Inzi'' Timamy

    BURIANI RASHID "INZI" TIMAMY MWANASOKA WA SIFA Imekuwa kawaida yetu kuwa hatuna historia yetu yoyote iliyohifadhiwa rasmi. Kama si kwa hii video ya marehemu Abdulkarim Shah maarufu kwa jina la Bulji ambae alipata kuwa mbunge wa Mafia leo tusingekuwa na kitu cha kuweka hapa kueleza historia ya...
  4. Stephano Mgendanyi

    Vita Rashid Kawawa apongeza na kuainisha aliyoyafanya kwa miaka miwili ya madarakani Rais Samia katika Jimbo la Namtumbo

    Mbunge wa Jimbo la Namtumbo Mhe. Vita Rashid Kawawa amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutimiza Miaka Miwili Madarakani kwa kutekeleza Miradi katika sekta mbalimbali. 1. Mhe. Vita Rashid Kawawa anapongeza Miaka Miwili ya Rais Samia kwa...
  5. Mohamed Said

    Rashid ''Afisa'' Sisso

    RASHID ''AFISA'' SISSO Nimemfahamu Rashid Sisso toka udogo wangu na nikimjua kama mmoja kati ya wanachama wakubwa wa TANU. Nilipoanza utafiti wa historia ya TANU katika miaka ya 1980 ndipo nikaanza kumtafiti Rashid Sisso kwa undani zaidi. Leo nimebahatika kupata picha yake ya ujana ya miaka...
  6. Mohamed Said

    Sheikh Shaban Rashid Msuya Mwanafunzi wa Sheikh Hassan bin Ameir, 1950s

    SHEIKH SHABAN RASHID MSUYA MWANAFUNZI WA SHEIKH HASSAN BIN AMEIR 1950s "Nakumbuka safari ya kwanza ya Mwalimu Nyerere UNO mwaka wa 1955, Sheikh Hassan bin Ameir alinichukua mimi na wenzangu kwenda Al Jamiatul Islamiyya kwani kulikuwa na sherehe ya kumuaga Nyerere. Sisi vijana wa madras ndiyo...
  7. Replica

    Rashid Shangazi: TRA imekusanya wastani wa trilioni 1.9 kila mwezi bila mtutu wa bunduki

    Rashid Shangazi: Katika kipindi cha miezi 9 mamlaka ya kodi imekusanya takribani trilioni 17.2 Ukipiga hesabu ya kila mwezi ni wastani wa trilioni 1.9 Kodi hizi zimekusanywa bila kutumia task force wala bila mtutu wa bunduki. ===== Hivi kuna kipindi tulikuwa tunakusanya kodi kwa kutumia...
  8. Mohamed Said

    Sheikh Shaban Rashid Msuya, mwanafunzi wa sheikh Hassan Bin Ameir 1950s

    SHEIKH SHABAN RASHID MSUYA MWANAFUNZI WA SHEIKH HASSAN BIN AMEIR 1950s John Iliffe anasema historia ya TANU nyingi ipo kwa watu. Hili mimi nimelishudia mara nyingi. Aliyonieleza Sheikh Shaban Rashid Msuya jioni moja tukiwa tumekaa kwenye ukumbi wake Ugweno Kata ya Kifula sikuyategemea. Awali...
  9. Mohamed Said

    Rashid Sisso mhamasishaji ''extra ordinaire''

    RASHID SISSO MHAMASISHAJI ''EXTRA ORDINAIRE'' Mmoja kati ya wazalendo vijana walioanzisha Bantu Group alikuwa Rashid Sisso. Wakati wa harakati za kudai uhuru alikuja kuwa karibu sana na Nyerere; na Nyerere akambandika jina la utani, ‘’Ofisa.’’ Katika mikutano ya hadhara Sisso alikuwa akisimama...
  10. Mohamed Said

    Mtaa wa Mkwepu ni kwa heshima ya Rashid Sisso

    MTAA WA MKWEPU NI MTAA KWA HESHIMA YA RASHID ''SISSO'' MOHAMED MKWEPU Mtoto wa Rashid Sisso kaniandikia leo akaniuliza swali, ''Unajua asili ya Mkwepu Street kule Posta?'' Nikamjibu sijui. Akaniuliza swali lingine. ''Jina la Rashid Mohamed Sisso je? Hilo ''Sisso'' ni la utani. Jina halisi ni...
  11. Analogia Malenga

    Tony Rashid arudisha heshima ya Tz dhidi ya msauzi Bongani Mahlangu

    Bondia wa Tanzania, Tony Rashid alipigwa na Bongani Mahlangu (Profesa) mwaka jana na kuporwa mkanda. Leo Februari 25, Tony Rashid ameomba pambano la marudiano ili arudishe heshima... Nini kitatokea, subscribe kwa huu uzi Mapambano ya Utangulizi Ramadhani Kondo Vs Isaya Ally Feather welter...
  12. Mohamed Said

    Taarifa ya kifo cha Sheikh Abdallah Rashid Sembe May 1999

    TAARIFA YA KIFO CHA SHEIKH ABDALLAH RASHID SEMBE MAY 1999 Nimeweka hapa historia ya dua iliyofanywa Mnyanjani mwaka wa 1958 ka ajili ya kutaka msaada wa Allah katika tatizo kubwa lilikokuwa linaikabili TANU katika Uchaguzi wa Kura Tatu. Kisa chote kile cha dua hii ya Mnyanjani kuanzia Mwalimu...
  13. Chachu Ombara

    TANZIA Mohamed Rashid Musa, Diwani kata ya Likombe afariki dunia

    Diwani wa Kata ya Likombe iliyopo Wilaya ya Mtwara, Mohamed Rashid Musa amefariki dunia leo Alhamisi Septemba 9 saa mbili asubuhi. Katibu wa CCM Wilaya ya Mtwara, Eliud Shemauya ameiambia Mwananchi kuwa diwani huko amefariki katika Hospitali ya Mkoa ya Ligula alipofikishwa jana Septemba 8, 2021...
  14. Nyendo

    Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

    Waziri wa Afya, Dkt Gwajima leo ameelezea suala askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima kupinga chanjo ya Covid-19 na kudai pamoja na ushemeji walionao haungani na itikadi zake. Pia ameshangaa wanaomuamini akitolea mfano wa Askofu kudai atamfufua Amina Chifupa kitu ambacho...
Back
Top Bottom