hamad

Sheikh Hamad bin Khalifa bin Hamad bin Abdullah bin Jassim bin Mohammed Al Thani (Arabic: الشيخ حمد بن خليفة آل ثاني‎; born 1 January 1952) is a member of the ruling Al Thani Qatari royal family. He was the ruling Emir of Qatar from 1995 to 2013. The Qatari government now refers to him as the Father Emir.Hamad seized power in a bloodless palace coup d'état in 1995. During his 18-year rule, Qatar's natural gas production reached 77 million tonnes, making Qatar the richest country in the world per capita with the average income in the country US$86,440 a year per person. During his reign, several sports and diplomatic events took place in Qatar, including the 2006 Asian Games, 2012 UN Climate Change Conference, Doha Agreement, Fatah–Hamas Doha Agreement, and it was decided that the 2022 FIFA World Cup will be held in the country. He established the Qatar Investment Authority. By 2013, it had invested over $100 billion around the world, most prominently in The Shard, Barclays Bank, Heathrow Airport, Harrods, Paris Saint-Germain F.C., Volkswagen, Siemens and Royal Dutch Shell.During Hamad's rule, Qatar hosted two US military bases. It also maintained close relations with Iran. He supported and funded rebel movements, particularly in Libya and Syria during the Arab Spring, while maintaining political stability at home. The Sheikh founded news media group Al Jazeera, through which he maintained his influence over the Arab world. He also played a part in negotiations between the US and the Taliban. In June 2013, Hamad, in a brief televised address, announced that he would hand power to his fourth son, Tamim bin Hamad Al Thani.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Mkutano wa 3 kuenzi Maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad, Novemba 26, 2023 - Zanzibar

    Taasisi ya Maalim Seif Foundation ikishirikiana na Taasisi ya Friedrich Naumann Foundation imeratibu Mkutano wa Tatu wa Kumkumbuka na Kumuenzi Maalim Seif Sharif Hamad unaofanyika kwa siku mbili tarehe 25 - 26 Novemba, 2023 katika Hoteli ya Golden Tulip Airport, Zanzibar. Kiongozi wa Chama cha...
  2. Roving Journalist

    Naibu Waziri Hamad Chande akumbushia usimamizi wa fedha zinazotolewa kwa ajili ya kusimamia Maadiliko ya Tabianchi

    Wataalamu wa mazingira kutoka Nchi 10 za Afrika na wenzao kutoka mataifa ya Ulaya wamekutana Jijini Arusha kujadili namna bora ya uwajibikaji kwenye matumizi ya fedha zinazotolewa na Wahisani kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya utunzaji mazingira ikiwemo mabadiliko ya Tabianchi. Mkutano huo...
  3. Analogia Malenga

    Hamad M. Hamad: Zanzibar imefanya chaguzi 6, ni mbili tu hazikuwa na mauaji

    Dar es Salaam, Agosti 23, 2023 – Katika Mkutano wa kujadili demokrasia ulioandaliwa na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD). Hamad M. Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi CUF na Waziri wa zamani wa Miundombinu na Mawasiliano, amezungumzia hatua zilizofikiwa katika kufanikisha mazingira bora...
  4. Sildenafil Citrate

    Hamad Masauni: Taasisi ya dini ya Mfalme Zumaridi haijasajiliwa

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema Serikali itazichukuliwa hatua taasisi zote za kidini ikiwemo taasisi inayoendeshwa na Diana Bundala maarufu ‘Zumaridi’ ambazo zinajiendesha kinyume na tamaduni za Kitanzania. Akizunguma katika kikao kati yake na viongozi wa mashirikisho na...
  5. Stephano Mgendanyi

    Bakar Hamad Bakar: Bidhaa Inayotoka Zanzibar Kuja Bara Isilipishwe Kodi

    MHE. BAKAR HAMAD BAKAR - BIDHAA INAYOTOKA ZANZIBAR KUJA BARA ISILIPISHWE KODI KODI ZA BANDARINI KERO KWA WANANCHI Mbunge wa Baraza la Wawakilishi katikaBunge la JMT (Zanzibar) Mhe. Bakar Hamad Bakar akiwa anachangia bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira amesema pamoja na...
  6. Jamhuri ya Zanzibar

    Juma Duni Haji na Maalim Seif Sharif Hamad; Usawa na Tofauti zao katika Kuyaendea Mapambano ya Kisiasa Zanzibar

    Marehemu Maalim Seif Sharif Hamad alikuwa kiongozi wa siasa na mapambano ya kisiasa ya kambi ya upinzani Tanzania, ambae alijaaliwa ushawishi mkubwa zaidi kwa upande wa Zanzibar tokea miaka ya 1988 alipofukuzwa katika Chama Cha Mapinduzi na serikali hadi pale umauti ulipomfika, mwezi Februari...
  7. NostradamusEstrademe

    Natamani kiongozi wa Qatar Sheikh Tamim bin Hamad Al Thani ajengewe sanamu

    Naandika haya nikijinasibu kutokuegemea kwenye dini yeyote au zozote zilizo katika dunia yetu hii pendwa ndogo sana inayoitwa Earth.Nimesema dunia yetu ni ndogo sana maana ni kama punje tu dhidi ya sayari zingine zilizo angani kama Jupiter.Dunia ni kama punje ya mtama dhidi ya mpira wa basket...
  8. T

    Mazishi ya mfanyabiashara na mwekezaji Hilal Hamad maarufu 'Phantom' yafanyika Mjini Shinyanga

    Mazishi ya aliyekuwa Mfanyabiashara na mwekezaji mzawa wa mkoa wa Shinyanga Hillal Hamad maarufu kwa jina la Phantom, yamefanyika leo Jumanne tarehe 04,10,2022, kwenye makaburi ya Waislamu yaliyopo Nguzonane katika Manispaa ya Shinyanga. Mazishi ya Mwekezaji huyo ambaye pia alikuwa ni kada wa...
  9. N

    Simba walicheza Abo Hamad sio Al Akdood

    Jamani embu haya mambo yakae sawa, watu wa graphics wa simba nafikiri ni vilaza flani hivi slow learners sana team imecheza na Abo hamad ya misri iliyopo daraja la pili siyo al akdood ya saud arabia ila ushindi ni uleulewa wa 6-0 naomba kuwakilisha
  10. Stephano Mgendanyi

    Ufunguzi wa mkutano wa kumbukumbu ya maisha ya Maalim Seif Sharif Hamad

    UFUNGUZI WA MKUTANO WA KUMBUKUMBU YA MAISHA YA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD. - "Nimesimama mikutano mingi kuongea na mingine ya kimataifa. Lakini sijaona ugumu kama naouona katika mkutano huu" - "Enzi za uhai wake, Maalim Seif alikuwa ni makutano ya watu, alikuwa ni kiongozi wa watu na alitokana...
Back
Top Bottom