Halotel waja kivingine

Halotel waja kivingine

Wengine sema wewe inakusumbua huku halo iko bomba sana. Kwetu huku Tigo mpaka utafute kichuguu ns Voda bora Airtel . Ttcl mtandao wa mjini tu tusiongopeane nje ya mji hawana nyimbo hata vocha hupati.
Uongo kwa upande wako maana eneo Ulipo haisumbui, wengine inatusumbua
 
Wengine sema wewe inakusumbua huku halo iko bomba sana. Kwetu huku Tigo mpaka utafute kichuguu ns Voda bora Airtel . Ttcl mtandao wa mjini tu tusiongopeane nje ya mji hawana nyimbo hata vocha hupati.
Basi kuhusu tigo na wewe Ni muongo maana huku kwetu ipo vizuri
Sorry kumbe sio wewe ulieniambia mi muongi
 
Write your reply... hawa jamaa noma sana, mi wananipaga mb 500 kwa week kwenye lain zao za chuo, sijutii kuwa mteja wao, nawashangaa sana wanaotumia internet ya voda au tigo
 
Hamna sio hivyo. Mimi nimejaribu kutumia tigo kurusha kwenye tv toka samsung bufferring kibao niko goms hapa (gongolamboto)

Nimetoa nimeweka lain ya halo mambo supa. Tigo ni kwa wenye Whats,app, insta, facebook, sisi tunaoshusha nondo hawatupati. Tuko halo. Tigo kifurushi cha kuongea tigo tigo kiko vizuri mambo mengine ni kichef chefu
 
Nimeongea na Customer care wa Halotel kwa nyakati tofauti kuhusu hiyo MEGA kifurushi cha 15Gb kwa 10,000 kwa mwezi.

UFAFANUZI UPO HIVI
KILA SIKU UTAKUWA UNAPEWA 500MB. KWA SIKU 30.
HAWAKUPI 15GB KWA MKUPUO.
Barikiwa mkuu
 
Njia rahis uwe unahamisha pesa kutoka mpesa au tigopesa kwenda halopesa then unanunua kifurushi ukipendacho..Problem solved!!
Gharama mara mbili nikiisaka gb 1
Voda ninapata gb1, dakika 150voda na 15 mitandao mingine sms bila kikomo kwa wiki kwa 1500.
 
Gharama mara mbili nikiisaka gb 1
Voda ninapata gb1, dakika 150voda na 15 mitandao mingine sms bila kikomo kwa wiki kwa 1500.
Sidhan kama gharama ya kutuma pesa mitandao mingine inazid hata 200..hicho cha voda kizuri kwa dakika za mitandao mingne
 
Nimeongea na Customer care wa Halotel kwa nyakati tofauti kuhusu hiyo MEGA kifurushi cha 15Gb kwa 10,000 kwa mwezi.

UFAFANUZI UPO HIVI
KILA SIKU UTAKUWA UNAPEWA
500MB. KWA SIKU 30.
HAWAKUPI 15GB KWA MKUPUO.


Mkuu update haya maelezo kwenye uzi wako.
Nilisema kabla kwamba hicho kifurushi wamekiwekea limitation Kuna Vichwa humu vilikuwa vinabisha.
Unlimited ya kweli ilikuwa Enzi zile za CProxy, PDproxy, pdvpn,NMD VPN na Tunel Guru.
Muda wote unaterezesha tu hadi TB inajaa
 
Tatizo ni kwamba kwa vijijini Internet iko chini sana. Kufungua tu hata jf mchana haiwezekani kabisa, ni ngumu sana. Angalau mida ya usiku kidogo, YouTube ndo kabisa tangu nije huku (maeneo fulani wilaya ya Mpwapwa), mwezi sasa YouTube imebaki pambo tu kwenye simu. Pia kingine ni pale unapopewa dk 40 halotel, 10 mitandao mingine, maana yake ni kwamba hizo kumi zitaisha, ila hizo 40 unaweza tumia 15 tu. Bado huduma za simu ziko juu sana.
 
Nimeongea na Customer care wa Halotel kwa nyakati tofauti kuhusu hiyo MEGA kifurushi cha 15Gb kwa 10,000 kwa mwezi.

UFAFANUZI UPO HIVI
KILA SIKU UTAKUWA UNAPEWA 500MB. KWA SIKU 30.
HAWAKUPI 15GB KWA MKUPUO.
Ahsante sana Bro,
 
Utatumia MB 500 tu kwa siku japo umepewa GB 30
Utoto huo, hizi limitation za kijinga jinga zipo Africa tu. Ulaya internet unailipia kama Bima. Aidha utatumia ama usipotumia wenzio watatumia sehemu yako uliochangia na mtandao ni wa kasi ya ajabu bila limits hata uache laptop ina stream youtube mwezi mzima huduma haikati.

Ni wewe tu utachagua uache kazi ushinde mtandaoni au uende kazini maana mwisho wa mwezi bills zinakusubiria na hamna msalia mtume, ulaya hamna mda wa kupoteza labda uwe filthy rich.
 
Back
Top Bottom