Yes...kwa hiyo mzigo lazima utoboe nao siku 30Ooooooook.![]()
Wanazingua sana.umekuja kuwa mtandao wa hovyo kuwahi kutokea nchiniNetwork mbovu.
Simalizi Mb 20 kwa siku
ProbablyHeavy user?
*148*66#
Bro umetumia hii bundle, ama hisia zako tu?Wanaku limit mkuu...kwa siku utatumia lakini si zaidi ya mb 500...kwa hiyo hizo 15gb ni mwezi Mzima...bt kwa siku hutatumia zaid ya mb 500
Sasa wewe hujaoni hilo sharti au???Bro umetumia hii bundle, ama hisia zako tu?




UongoNi kweli, lkn Halotel imezidi. Sehemu nyingi internet haishiki vizuri na sio nje ya mji.
Network mbovu.
Simalizi Mb 20 kwa siku
Situmii mtandao huu kwa mawasiliano, nimeuliza kupata jibu kwa watumiaji. Sikutegemea swali, nilitaka Jibu.Sasa wewe hujaoni hilo sharti au???![]()
Sio hapa mkuuSio halotel mkuu
Jamaa wako vzr yan
Uongo kwa upande wako maana eneo Ulipo haisumbui, wengine inatusumbuaUongo