Niliwahi kuwajaribu lakini speed ya internet ikiwa ndogo mno kiasi kwamba niliichukulia kama kiro.
Sasa sijajua kama ni eneo nililokua au ni mtandao wenyewe.
.
Na vipi kuhusu line kusajili si ni mpaka upeleke dole gumba ofisini kwao?




dole gumba ni kuanzia mwezi ujao bosiUnaishi wapiNetwork mbovu.
Simalizi Mb 20 kwa siku
Namaanisha *149*42#. Hii menu waliofanyia mabadiliko hawakujua tu madhara yake.Vp mdau mbona washarudsha saiv fresh
Imekaa vizuriKwa kupitia menu yao ya halopesa,yaani *150*88#,kisha namba 3 yenye vocha na vifurushi,kisha namba 2 yenye mega bando, halotel wanakupa mb 500 na dkt 50 kwa siku kwa sh500,1gb na dk 100 kwa wiki kwa sh 1000 na gb 15 kwa mwezi kwa sh10000.Ahsante Halotel.Mkombozi wa mawasiliano vijijini.
Hapa voda mpango mzima Nasreem bila tatizoUnaishi wapi
MB 300 zinaisha ndani ya dakika 60
Sasa mbona hamna kifurushi cha kutisha hapo???Airtel bhandugu, yani siiachi walaiiView attachment 1079681






Huku kwetu kumenoga mnoBado hakujanoga mkuu