Iko cha usiku,ni unlimited kweli au ikfika gb kadha chali,maana nna mzgo wa gb38 najiuliza njiunge plan ipiHahahahahaaaaa
Hapo movie na series kaka ndio zinanimalizia mb.
Huwa namshangaa mtu anaposema mtandao Fulani haufai kwa sababu network yake ipo chini, hili si kweli mtandao kupanda inategemea na eneo ulilopo ,unaweza kuta mahali ulipo Halotel haina nguvu lakini kuna mwingine alipo unakuta ina kasi tu....Kwahyo mtandao kuwa na kasi ama kutokuwa inategemea na eneo ulilopo na si kujumuisha kwamba mtandao Fulani upo slow kwenye netHalotel mizinguo tu netwerk yao mpaka upande kwenye mti ndo unapata 3G ukishuka tu network E... Watafaid wachache sana hii huduma
Ni kweli, lkn Halotel imezidi. Sehemu nyingi internet haishiki vizuri na sio nje ya mji.Huwa namshangaa mtu anaposema mtandao Fulani haufai kwa sababu network yake ipo chini, hili si kweli mtandao kupanda inategemea na eneo ulilopo ,unaweza kuta mahali ulipo Halotel haina nguvu lakini kuna mwingine alipo unakuta ina kasi tu....Kwahyo mtandao kuwa na kasi ama kutokuwa inategemea na eneo ulilopo na si kujumuisha kwamba mtandao Fulani upo slow kwenye net
Yan kiongoz mara yakwanza mtandao ulkuwa vzur cjui lmeharibika sikuiz mpaka tupande kwenye mlima au mti hivyo ile sehem yenye 3G had nyas zmekauka tokea mwez wa1Huwa namshangaa mtu anaposema mtandao Fulani haufai kwa sababu network yake ipo chini, hili si kweli mtandao kupanda inategemea na eneo ulilopo ,unaweza kuta mahali ulipo Halotel haina nguvu lakini kuna mwingine alipo unakuta ina kasi tu....Kwahyo mtandao kuwa na kasi ama kutokuwa inategemea na eneo ulilopo na si kujumuisha kwamba mtandao Fulani upo slow kwenye net
Shukrani chiefNikweli piga *148*66# kisha chagua 1 ofa maalum. Then chagua 6. usiku ofa
Nyasi zimekauka😀😀😀kwamba mnajaaga wengi.Yan kiongoz mara yakwanza mtandao ulkuwa vzur cjui lmeharibika sikuiz mpaka tupande kwenye mlima au mti hivyo ile sehem yenye 3G had nyas zmekauka tokea mwez wa1
Nimekupata mkuu....Ni kweli, lkn Halotel imezidi. Sehemu nyingi internet haishiki vizuri na sio nje ya mji.
sure mkuu...GB 1 hyo naimaliza kwa masaa kadhaa tuWewe ni hatareeeeeee