rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Utoto huo, hizi limitation za kijinga jinga zipo Africa tu. Ulaya internet unailipia kama Bima. Aidha utatumia ama usipotumia wenzio watatumia sehemu yako uliochangia na mtandao ni wa kasi ya ajabu bila limits hata uache laptop ina stream youtube mwezi mzima huduma haikati.
Ni wewe tu utachagua uache kazi ushinde mtandaoni au uende kazini maana mwisho wa mwezi bills zinakusubiria na hamna msalia mtume, ulaya hamna mda wa kupoteza labda uwe filthy rich.





Hata ttcl nao wanalimitations kwenye Kifurushi flani Unapewa GB 4 ila GB 3 unatumia usiku tuu