Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

Haiwezi kumumiiza kwa sababu hayupo kwa maslahi ya wapiga kura wake.Ni hili liwe fundisho kwa watu wa kawe,mbunge wenu kasema haumii kwa kufukuzwa,kazi kwenu
Sema nani yuko kwa maslahi ya taifa si ndio hao waliofunga mikataba ya madini halafu leo wanalalama eti nchi inaibiwa au mbona tunajitia ujinga wakati tayari tumeshamalizwa ee maskini nchi yangu
 
Ukijielewa hakuna wa kukupelekesha lakini wapo wataokufuata
 
Hivi hawa maspika hawanaga hata aibu?? . Maana kuna maisha nje ya bunge.
 
Mdee unaendeleza dharau,Kamati ya Uongozi inatoa tamko unaita ...Porojo..mmmh Haya bwana
Ukiona mtu anakudharau, ujue una hali ya kudharaulika. Mbona wabunge hawakumdharau Samwel Sitta au Pius Msekwa?

Wabunge wa CCM wanatia aibu. Kwa nini wanajidhalilisha na hiyo NDIOOOOO bila kutafakari? Siku hizi rais anateua watu nje ya bunge, halafu anawapa uwaziri, hata naibu spika alionekana hamna mtu bungeni.
 
Laiti kama kungelikua na uwezekano tukaokoa pesa wanazogawana wabunge pale dodoma zikaenda kwenye miradi ya maendeleo. Yamejifungia ndani bila sisi kujua kinachoendelea na matokeo yake ni mikataba mibovu kama tunavyoishuhudia . Yalipitisha kizani kwa kuunga mkono asilimia mia moja. Laana tulah!
 
Mwenzenu kimeota kibarua nyasi mpaka next year, hahaha
Kwani kuna vikao vingapi vilivyobaki kumaliza bunge hili la bajeti? Maana hivyo vya October na February kwa pamoja hata havizidi mwezi. Na mara nyingi ni vya marekebisho ya sheria mbalimbali, tena mara nyingi kwa hati za dharura. Hata upinzani wote wasipokuwepo akidi inatimia na zitapitishwa kwa NDIYOOO kama ilivyo siku zote. Hakuna wanachopoteza in terms of kipato...wamekuwa bungeni for more than 10 years now. Hivyo vikao vya siku 30 posho yake ni ndogo sana ukilinganisha na kukubali kupelekeshwa eti kisa mmetoka kusamehewa juzijuzi. Huwezi kunisamehe alafu ukaniwekea masharti ya kunifanya niishi kama msukule...nisijitikise hata pale napoona naonewa eti kisa masharti ya msamaha yanasema hivyo? Upuuzi mtupu.
Kwanza mi sijawahi kuona msamaha wenye masharti. Ukisamehe unasemehe na kuanza upya. Binadamu haiwezekani akakuguarantee 100% kuwa hatakosea tena. Kiuhalisia hilo haliwezekani. Kama Mungu angekuwa anatupa masharti kama hayo pindi tunapotubu makosa yetu na kusamehewa basi hakuna hata mmoja kati yetu ambaye angepona na adhabu...maana tunakosea kila siku na tunasamehewa tukitubu...tunakosea tena tunatubu na kusamehewa...and that goes on and on and on....uncountable times.
 
Porojo
Jerry muro
Haji Manara
Walisema hivyo hivyo ni porojo
hivi sasa wanaonekana facebook,instagram,twitter kifungo cha mwaka.
Halima na Bulaya tutawaona huko huko facebook, instagram na Twitter.
 
Nilishasema toka siku nyingi kuwa Bunge limekuwa halina tija kwa taifa. Ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
 
Turudi tena kwa spika, je ni kweli hakumsikia aliyekuwa akiwaambia akina Mnyika mwizi? Tena mtu huyo aliwasha mic na kuongea bila kuruhusiwa. Je hilo kosa? Tukisema kuna upendeleo atasemaje? Maana ni wazi kabisa ameonyesha upendeleo wa wazi!
 
Kuwa n Spika kama NDUGAI ni hasara kwa taifa akirudi tena India asirudi
 
Huyo anataka apewe adhabu ingine kali, atajiju mwanamke huyu hana nidhamu kabisa. Sijui mnachaguaje wabunge wenu wanatia aibu.

Hivi ana bwama huyu?
Kwani we umeacha ukahaba? Mwenzako bashite anapumuliwa n babu seya
 
Kasema yanayoendelea DOM
Hata miye ndivyo nilivyo soma. Lakini wakina Lion Cha Mwenyewe watasema: "Anamaanisha Kwenye Mjengo". Na Mkuchi wa Kaka atataka apelekwe kwenye Kamati yake Wamnyongelee mbali....
 
'Porojo za Dodoma haziniumizi - Mdee, Baada ya kusomwa kwa adhabu yake.


Mdee huwenda akarudi tena 2020. Lakini Bulaya kwa jinsi ninavyowajua wakuru wa Bunda wala asihangaike tena kugombea 2020.

Wana maswali ya kizushi hao watu. 1wapo ni kwamba tulikutuma kwenda bungeni ili kufanya fujo au kututetea na kutuletea maendeleo?

Swali la pili wewe ni mwanamke gani unataka kupigana na wanamme?
 
Back
Top Bottom