Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

Ameshapata kiki ya kuingilia msibani kwake yatosha.
Haiwezi kumumiiza kwa sababu hayupo kwa maslahi ya wapiga kura wake.Ni hili liwe fundisho kwa watu wa kawe,mbunge wenu kasema haumii kwa kufukuzwa,kazi kwenu
mbumbumbu kwelikweli
 
Kama wanavyosema watu kuwa hii tabia yake ya kusuguana na wenzake ndiyo inayomchanganya akili....akipata dushe la ukweli si karotii au dodoki ndipo stress zitamuishia.
 
nakumbuka misemo ya walevi... nivue nisivue vuaaaaaa!!! haitofautiani na wale waitikiao ndiyoooo kwenye mambo ya ovyo na yanayoleta hasara kwa taifa! sishangai hata ikisemwa nchi iuzwe watajibu ndiyoooo imeafikiwa! huku wakijisahaulishwa kuwa zamu ya wapinzani ikiisha watageukiwa miongoni mwao watakaokuwa na mawazo kinzani 😀😱
 
Hivi mbali na kupata sitting allowance,kuna kitu kingine chochote cha maana kinachofanywa pale!
Hakuna kamanda, cha kushangaza huzunguka nchi nzima just kupata ridhaa ya kwenda hapo unaposema hakuna chochote cha maana kinachofanywa nadhani waambieni wambunge wenu walokosa malezi wasiende bungeni hakuna cha maana pale. i hope watawasikiliza
 
Kama wanavyosema watu kuwa hii tabia yake ya kusuguana na wenzake ndiyo inayomchanganya akili....akipata dushe la ukweli si karotii au dodoki ndipo stress zitamuishia.
Kwa nini tufike kwenye maneno makali hivyo...???? Mimi napenda tuwe kitu kimoja kama watanzania na tupendane kwa dhati.
 
Kama wanavyosema watu kuwa hii tabia yake ya kusuguana na wenzake ndiyo inayomchanganya akili....akipata dushe la ukweli si karotii au dodoki ndipo stress zitamuishia.
Je karoti likikatia humo itakuwaje mkuu, si ndio Yale ya kufanyiwa upasuaji tena! Hatari sheikh!
 
Haya mama rudi Kawe uje kututumikia wananchi wako.Ila Halima punguza ukorofi jamani nikikumbuka ili siku ya uchaguzi tulivyowakimbiza wale vibaka waliobeba mabox ya kura kabla ya muda hahahah!
 
Mi siasa za Tanzania, nilisha ona ni za maji taka. Pili, hatuna bunge saizi
 
Ingekua porojo mngeng'ang'ania bunge live manyumbu nyie
 
Act nzuri saana.alipomaliza Mkuchika,Ndugai akaongea halafu akasema nakuona Shoza.Duuhhhh hapo ndipo nilichoka.....aliandika saa ngapi yote yale...???hii ni aibu jamani.hata sisi tumekwenda shule.Mkuchika alivyofanya Shoza inaonesha ulivujisha maamuzi ya kamati hivyo unastahili adhabu pia....yote tisa kumi ni
Mwenyezimungu ndiye mjuzi wa yote,huyajuwa yaliyo mbele yetu na yaliyo nyuma yetu.
 
Kwa upumbavu unaofanyika, Bashite alikuwa sawa kuwadharau. Harafu Ndugai sijui yupoje siku hizi. Kuna kitu hakipo sawa kichwani mwake.
Wanasema alienda india kurekebisha fuse ya uwepo wa kufikilia lakin walishindwa kutokana na eneo loote la fuse box kuharibika kea hiyo wamechukua vipimo wanatakavwaunde paten mpya.
 
Back
Top Bottom