Kamati kuna mtu wa maana, wako kichama ccmMdee unaendeleza dharau,Kamati ya Uongozi inatoa tamko unaita ...Porojo..mmmh Haya bwana
Mdee unaendeleza dharau,Kamati ya Uongozi inatoa tamko unaita ...Porojo..mmmh Haya bwana
Kasema yanayoendelea DOM au kuna mahali kataja bungeni? watu mna taabu sanaKina Makonda wakidharau bunge Wabunge wanakasirika
Ni Porojo kweli mana Ndugai anashikiwa akili na akina Shonza ma useless..kweli India waliondoka na akili za Spika na mibunge mizwazwa ikishangilia
'Porojo za Dodoma haziniumizi - Mdee, Baada ya kusomwa kwa adhabu yake.
Huyo mvuta bangi alitaka zimuumize ili Akalazwe Muhimbili!!