Ni mtovu wa Nidhamu sana huyu binti. Adhabu aliyopewa nafikiri haijamkolea.Mdee unaendeleza dharau,Kamati ya Uongozi inatoa tamko unaita ...Porojo..mmmh Haya bwana
Hakika aisee.Kwa hiyo Mdee anakubaliana na Makonda kuwa bungeni ni porojo tu na kusinzia
Kutunga sheria na kanuni mbofu mbofu.Hivi mbali na kupata sitting allowance,kuna kitu kingine chochote cha maana kinachofanywa pale!
Dharau iko wapi? Kusema Kelele za DOM? Kwani Kusema kelele za Dom ni dharau kwa nani. Najua wewe umejielekeza kwamba anasemee Bunge. Hapa mimi sioni kama kasema hivyo na hata wakampeleka kwa maneno hayo atawaruka kitaa maana hajatamka kitu kama hichoMdee unaendeleza dharau,Kamati ya Uongozi inatoa tamko unaita ...Porojo..mmmh Haya bwana
Kusifiwa ukitenda jambo hainamaana usikemewe, na hata kuzomewa ikibidi, iwapo utatenda hovyo!Huyu ndugai si alikuwa anasifiwa hapa juzi juzi Tu.
Uelewa wako umeenda safari?Mwenzenu kimeota kibarua nyasi mpaka next year, hahaha
Mwenzenu kimeota kibarua nyasi mpaka next year, hahaha