mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,286
- 6,729
Bora umetambua ukweli kwamba hii Tanzania mpya ya "cheo ni dhamana", maana yake kuwajibika. Vivyo hivyo iwe kwa Bunge, Serikali au Mahakama, watendaji wake wakuu waheshima na kuzitendea ipasavyo nafasi zao za madaraka....
Nilichokiona kwa Ndugai na yeye anataka kumuiga Magufuli eti kwamba hachekicheki...
Mdee na Bulaya wasijiweke juu ya kiti cha spika na kutenda watendao.
Naamini Bulaya na Mdee wakirudi Bungeni watakuwa wamejifunza. Na sisi humu jamvini tuandike yoyote yale ambayo lakini hayatabadilisha kamwe kanuni za bunge.