Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

Halima Mdee: Porojo za Dodoma haziniumizi

'Porojo za Dodoma haziniumizi - Mdee, Baada ya kusomwa kwa adhabu yake.



Mdee unaendeleza dharau,Kamati ya Uongozi inatoa tamko unaita ...Porojo..mmmh Haya bwana
Tangu Esthee Bulaya ahamie Chadema, huyu mbunge wetu wa Kawe amekuwa tatizo kubwa sana.
Na vurugu nyingi utawakuta wamapiga 'kolabo'.
 
siasa bana, na akili zetu watanzania zilivyo ndogo basi wanasiasa kwa kutambua hilo huwa wanatufanya kama mbwa koko akirushiwa mfupa anaenda tu bila kujua anaweza akawekewa sumu... Huyu Spika Ndugai si ndiyo wapinzani wakiongozwa na Lowassa walisema bunge linaendeshwa kienyeji na Naibu Spika Dk Tulia, kwa sababu ya kutokuwepo kwa Spika Ndugai kipindi kile alipokuwa anaumwa. Na kuna lugha kabisa ilitamkwa kwamba Spika Ndugai ni mtu makini, kipindi kile wanaomba apone haraka arudi bungeni.. Leo hii mbaya tena, shikamoo siasa.
Nimekuelewa
 
"...Bunge liwepo ama lisiwepo ni sawa tu.... "
Mtikila, 1996
 
Porojo na "utoto" tu, mimi binafsi sioni umuhimu wa bunge!
 
Wazee wa ndioo kila kitu utasikia spika anahoji sisi tumekula nyama wao wamekula maharage majuha yanaitikia ndiooo

Spika anamua basi walio kula nyama tumeshinda kikao kinaisha wanaenda kujamba
 
Ameshapata kiki ya kuingilia msibani kwake yatosha.
Haiwezi kumumiiza kwa sababu hayupo kwa maslahi ya wapiga kura wake.Ni hili liwe fundisho kwa watu wa kawe,mbunge wenu kasema haumii kwa kufukuzwa,kazi kwenu
We mpuuzi nini?! Halima ni mbunge wetu na 2020 tunampigia kura. Porojo za Dodoma hazitusumbui
 
Frustrations! hakuwa sababu ya kugombea ubunge iwapo hakuna cha maana kwa manufaa ya wananchi wa jimbo la Kawe anaowawakilisha Bungeni! Uongozi unataaka mtu kuwa na busara. Isitoshe iwapo anaona Bungeni Dodoma hakuna la maana, halazimishwi kwenda huko, na ana hiari ya kujiuzulu bila kukwaruzana na mtu au mamlaka ya Bunge.
 
Wabunge wangu wa CCM wangekuwa wakali namna hii kwa kulinda maliasili na madini ya watanzania tungekuwa donor
 
hahahaha, turevedi, hahahahahahaha. Uu mwana ni mkai lakini vadee uthi hetu tu vapole sana. hahahahaha
mama wangu ni mdee!! esi mkai.
nashukuru mungu..Mdee ananogesha siasa za Tanzania, hata kwenye chakula wengine hutia mboga pililipili wanakula na machozi yanatoka,,ndio utamu wenyewe
 
mama wangu ni mdee!! esi mkai.
nashukuru mungu..Mdee ananogesha siasa za Tanzania, hata kwenye chakula wengine hutia mboga pililipili wanakula na machozi yanatoka,,ndio utamu wenyewe
Uthire kiche hangi mama wenyu tuna mbare!!!! hahahahahah.
 
'Porojo za Dodoma haziniumizi - Mdee, Baada ya kusomwa kwa adhabu yake.


Halima Mdee inaonekana ana matatizo ya akili, siyo bure! kama siyo kuvuta, basi anakunywa? Sasa kama maamuzi ya bunge anayaita porojo, tumuulize kuwa, je, baada ya msiba, atarudi lini bungeni ili aendelee kuwakilisha wapiga kura wake katika kujadili bajeti ya 2017-2018??
 
Mdee unaendeleza dharau,Kamati ya Uongozi inatoa tamko unaita ...Porojo..mmmh Haya bwana

Hivi unaamini pale kuna Kamati ?. Kamati isiyotenda haki?
Yu wapi aliyesema ninyi Wezi?. Nini chanzo cha Vurugu?
Je nini maana ya self defense ?
Acheni Porojo!
 
Nami nasema mle mnaporojo bora kuangalia bunge la kenya kuliko bunge la ccm
 
Back
Top Bottom