Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,144
- 128,789
- Thread starter
- #61
No no no, Mkuu 1800, mimi kwishney mpaka maini!, nimebaki ...kwa macho tuu!.Ha ha ha ha!kuna msemo ng'ombe azeeki maini mkuu,unaweza ukaamua kuwaachia ulingo vijana ukaona wanazembea ukaamua kurudi mwenyewe ulingoni kuwaonyesha vijana how it suppose to be done!
Ila nyie vijana wa siku hizi sijui vipi!?, nakua waoga waoga tuu kujaribu, sisi enzi zetu, moyo ukimdondokea, unamtokea, unajaribu, ukikataliwa unasinga mbele lakini angalau ulijaribu!. Wewe kama ni bado kijana, na hayo usemayo ni kweli, jaribu bahati yako huwezi jua!, ila ni comandoo angalia usije ukataka kuleta za kuleta!, utatoka manundu!.
P.