Wanadodi,
Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!.
Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambao timu ya bunge la Tanzania iliibuka kidedea!.
Kwa ref. tuu, Halima Mdee ndie mbunge pekee wa kike wa upinzani iliyeingia bungeni kwa merrits!. Wengine wote "wamebebwa!".
Tuendelee kumsikiliza
Please keep on watching!
Pasco.
Mshenzi sana! Yupo kwenye kambi ya Tuntemeke. Hatufai, bora Josephine
Mkuu BLACKTIGER , hiyo inaitwa "expressing yourself", kupenda ni jambo zuri na kupendwa ni jambo la kheri na haswa mdada anapokuwa wa ukweli, kwenye siasa huku amesimama mwenyewe kwa miguu yake miwili!.Nampenda sana huyu mdada wa ukweli kisiasa vile vile wa ukweli ki..
Mkuu T2015CCM, a.k.a unyakhae, kwanza asante kwa kuligundua kosa hilo!, ni mpaka ulipoligundua ndipo na mimi nikaliona, thanks!.Pasco always check your grammar, mara uandike wanadodi mara samanini,ndio kiswahili gani hiki?una haraka gani?kwann hutulizi akili yako?
Mkuu Mzee Mwanakijiji , humans are animals by nature!. Ila pia tuna tofauti kubwa baina yetu katika uwezo wa kutawala passion zetu ndio maana kuna wengine wenye good self control, wanaweza kuona na kumezea!, wengine kama sisi ni dhaifu!, na tatizo lingine tuko too frank, kwenye ukweli tunasema no matter what!, ila uzuri wetu, tunaishia kuona na kusema tuu!, na kuna wenzetu ndio dhaifu zaidi, hao wakiona, wanaweza wasiseme kama sisi bali wanafutilia kabisa, hawapitwi na kitu hakikatishi!.ungesema "we only animals".... kwani mwanadamu ana faculties zinazomfanya aweze kutawala passions zake. Vitu vingine tunatakiwa kuvimezea hata kama tunaviona.
Kuna watu ni wageni humu kila uchao, hawajui humu kuna watu na watu wao, hawajui watu wameanzia wapi na watu wao wanaowakubali, leo linatokea jambo la kijinga jinga, unaposimama kwenye mstari kunyoosha jambo, wasiojua ndio wanadhania umeanza leo!.Wanadodi,
Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!.
Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambao timu ya bunge la Tanzania iliibuka kidedea!.
Kwa ref. tuu, Halima Mdee ndie mbunge pekee wa kike wa upinzani iliyeingia bungeni kwa merrits!. Wengine wote "wamebebwa!".
Tuendelee kumsikiliza
Please keep on watching!
Pasco.
Mode: Hizi zinaitwa light politics, watu mmezoe heavy politics only, na wanapowaona hawa waheshimiwa wetu, wanadhani kupendwa ni kuwakosea heshima/adabu, no way!, they are only humans too!.
P.
Kuna watu ni wageni humu kila uchao, hawajui humu kuna watu na watu wao, hawajui watu wameanzia wapi na watu wao wanaowakubali, leo linatokea jambo la kijinga jinga, unaposimama kwenye mstari kunyoosha jambo, wasiojua ndio wanadhania umeanza leo!.Wanadodi,
Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!.
Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambao timu ya bunge la Tanzania iliibuka kidedea!.
Kwa ref. tuu, Halima Mdee ndie mbunge pekee wa kike wa upinzani iliyeingia bungeni kwa merrits!. Wengine wote "wamebebwa!".
Tuendelee kumsikiliza
Please keep on watching!
Pasco.
Mode: Hizi zinaitwa light politics, watu mmezoe heavy politics only, na wanapowaona hawa waheshimiwa wetu, wanadhani kupendwa ni kuwakosea heshima/adabu, no way!, they are only humans too!.
P.
Kuna watu ni wageni humu kila uchao, hawajui humu kuna watu na watu wao, hawajui watu wameanzia wapi na watu wao wanaowakubali, leo linatokea jambo la kijinga jinga, unaposimama kwenye mstari kunyoosha jambo, wasiojua ndio wanadhania umeanza leo!.Wanadodi,
Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!.
Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambao timu ya bunge la Tanzania iliibuka kidedea!.
Kwa ref. tuu, Halima Mdee ndie mbunge pekee wa kike wa upinzani iliyeingia bungeni kwa merrits!. Wengine wote "wamebebwa!".
Tuendelee kumsikiliza
Please keep on watching!
Pasco.
Mode: Hizi zinaitwa light politics, watu mmezoe heavy politics only, na wanapowaona hawa waheshimiwa wetu, wanadhani kupendwa ni kuwakosea heshima/adabu, no way!, they are only humans too!.
P.
Wewe ile karma ya Wajumbe waliokutosa Ubunge itampata nani?Kuna watu ni wageni humu kila uchao, hawajui humu kuna watu na watu wao, hawajui watu wameanzia wapi na watu wao wanaowakubali, leo linatokea jambo la kijinga jinga, unaposimama kwenye mstari kunyoosha jambo, wasiojua ndio wanadhania umeanza leo!.
Nimelikumbuka bandiko hili ni la 10 years back, mtu unamzimikia, hujawahi kumtokea wala kumwambia, ikitokea, ukaona kuna watu, tena wenye 'foleni' ndefu hao, wanataka kumletea uhuni!, lazima utasimama nae!.
Halima Mdee, keep up the fight, kuna millions huku mtaani watasimamama na wewe, na hata ikitokea ukakosa haki yako, bado kuna karma, itasimama na wewe, na itasisima nao!.
P
Kwanza sio kila kitu kina karma, ukitoswa popote kwenye jambo lolote, hiyo inaitwa kukataliwa, ukikataliwa, ukaumia kwa kukataliwa, ukilia machozi ya ndani, yule aliyesababisha ukataliwe ndio karma itamkuta. Lakini ukiomba kitu fulani, hata tunda tuu la fulani, unetamani kumega, ukaambiwa ili umege, ninunulie chips kuku, nikugaiye tunda umege, wewe huna senti tano ya kununua chips kuku, hivyo unakataliwa, hupewi tunda kumega, hata ulie machozi nusu ndoo, hakuna karma yoyote itamfika huyo aliyekunyima tunda.Wewe ile karma ya Wajumbe waliokutosa Ubunge itampata nani?