Halima Mdee on ITV Asubuhi Hii!.

Halima Mdee on ITV Asubuhi Hii!.

Mkuu Pasco hapo umeteleza kidogo Halima mdee siyo mbunge pekee wa kike wa upinzania aliyeingia bungeni kwa merits,kwani kuna mbunge wa kike wa Kasulu vijijini anaitwa Buyogera Zaituni Agripina wa NCCR-MAGEUZI,huyu ameingia bunge kwa kuchaguliwa baada ya kumshinda Daniel Nsanzuzwako wa CCM!
Mkuu TUKUTUKU , huku sio kuteleza kidogo, ni kuteleza kukubwa!, amini usiamini, pamoja na zile ziara zangu kibao kule mjengoni, nilimdhania huyi mama ni wa viti maalum!, sijabahatia kuisikia michango yake akimwaga cheche bungeni!. Kuna maeneo CCM imepigwa chini kwa sababu wameichoka mpaka basi!, inamaana Chadema hata wangesimamisha jiwe lingepita!. Nimewashauri wasirudie makosa, 2015 wasimamishe kila jimbo, ila lazima wakubali kuachiana baadhi ya majimbo ambayo vyama vingine vya upinzani wina strong candidate!.
P.
 
Mbunge wangu huyu nilimpigia kura lakini bahati mbaya anakutana na upinzani mkubwa ndani ya chama chake kati yake na Josephine, nani sijui atapitishwa na chama kugombea jimbo la Kawe.

Ukiwa mtu wa kushangilia propaganda kila siku watu wengi wenye akili na hekima zao hapa watakudharau. Hata wale wanaokuambia haya mambo wakijua ni ujinga nawe wanakuona unayapokea na kuyafanya kuwa ndiyo breakfast, lunch na dinner, watakudharau.

Siku moja moja zungumza hoja za ukweli kama siku ile uliyohamasisha watu wachangie JF. Walau mara moja basi kwa mwezi. Sasa wewe kila siku kila siku tuuuu, verse za Sekretarieti mpya ya Lumumba.

Natumaini u mzima kama unavyoonekana asubuhi ya leo.
 
Last edited by a moderator:
Kwani halima mdee yupo upande wa masalia mpaka Mrs Babu ale nae sahani moja
 
Kiukweli, kila mtu anauwezo wa kuuona uzuri kutokana na macho yake!, mimi mwenzeni nimeshindwa ku update chochote Mdee anachosungumza, nimebaki nikimkodolea macho tuu!, na kukusaidia, hiyo sio wigi, hizo ni nywele zake na zimempendeza sana mpaka wengine kushindwa ku update anachozungumza!.

Sorry wanabody wengine kushindwa ku update, na mimi ni binadamu tuu!.

Pasco.

Ha ha ha ha ha! Mkuu Pasco naona unatafuta ugomvi kati yetu!!maana moyo,akili na macho yako na yangu kwa ili la Mh Mdee yana mtazamo mmoja!!mwenyewe nikimuangaliaga huyu dada nakua weak!ha ha ha ha!
 
Mbunge wangu huyu nilimpigia kura lakini bahati mbaya anakutana na upinzani mkubwa ndani ya chama chake kati yake na Josephine, nani sijui atapitishwa na chama kugombea jimbo la Kawe.

Ujinga ni kusema You have nothing to hide, wakati ukiingia chooni unafunga mlango!
Uwe na asubuhi njema kaka
 
Mbunge wangu huyu nilimpigia kura lakini bahati mbaya anakutana na upinzani mkubwa ndani ya chama chake kati yake na Josephine, nani sijui atapitishwa na chama kugombea jimbo la Kawe.

wewe kila kukicha uko lumumba hujui hata kinachoendelea zaidi ya lumumba.
 
Last edited by a moderator:
Wakati mwingine.....


Nimeamini,nilidhani masikhara....ha ha ha!


Weekend njema!
Weekend njema Mkuu Ben Saanane, kila nikikuona, kumbukumbu zangu za mwisho ni jinsi ulivyo mwiba, umewachoma na sasa tunasubiria tuu, wasisitizie chama chako, "mdharau mwiba.." tumbueni mapema huo usa... vinginevyo..
P.
 
Weekend njema Mkuu Ben Saanane, kila nikikuona, kumbukumbu zangu za mwisho ni jinsi ulivyo mwiba, umewachoma na sasa tunasubiria tuu, wasisitizie chama chako, "mdharau mwiba.." tumbueni mapema huo usa... vinginevyo..
P.

Nimependa kwa kusimama kwenye mstari,ingawa muda mwingine ukweli uwa ni mchungu kwa wengine!
 
Ha ha ha ha ha! Mkuu Pasco naona unatafuta ugomvi kati yetu!!maana moyo,akili na macho yako na yangu kwa ili la Mh Mdee yana mtazamo mmoja!!mwenyewe nikimuangaliaga huyu dada nakua weak!ha ha ha ha!
Mkuu 1800, usiwe na wasiwasi, mimi ... kwa macho tuu, mwenzio tayari long time ago, ni father of six!, mchana umeshapita sasa naelekea jioni!, hapo ni kazi kwenu vijana!.

Siku moja niliwaona wabunge vijana masingle pale Club 94. Halima alikuwa na Esta, na kale kabinti ka Kigoma, huku vijana Nasari na wengine wawili, huwezi amini, japo niliingia mle kusafisha macho tuu, niliishia kuwakodolea tuu macho na ukiwaona hizo dresing zao huko club,,wee acha tuu!.
P.
 
Mkuu 1800, usiwe na wasiwasi, mimi ... kwa macho tuu, mwenzio tayari long time ago, ni father of six!, mchana umeshapita sasa naelekea jioni!, hapo ni kazi kwenu vijana!.

Siku moja niliwaona wabunge vijana masingle pale Club 94. Halima alikuwa na Esta, na kale kabinti ka Kigoma, huku vijana Nasari na wengine wawili, huwezi amini, japo niliingia mle kusafisha macho tuu, niliishia kuwakodolea tuu macho na ukiwaona hizo dresing zao huko club,,wee acha tuu!.
P.
Ha ha ha aaa!Ingawa nilikua nimekuaga....Nahisi jukwaa la siasa limeunganishwa na MMU sasa.
 
Mkuu wewe mtoto wa kiume usiwe na tabia za umbea.

Uzuri JF inahifadhi mabandiko ya kila member ukiweka bandika langu ambalo nimesema nimemchagua Mnyika, kuanzia leo najitoa JF.

Usipoweka kuanzia leo nakuweka kwenye kundi la wazadiki wa JF.
Hapana mkuu, nani sasa atakuwa anatuchekesha tunapojadili serious issues kama kuibiwa twiga uwanja wa ndege, utapeli wa DOWANS, EPA, na vurugu za masalia?
Rejao atajisikia mpweke na tusentensi twake tufupitufupi.
 
Mkuu 1800, usiwe na wasiwasi, mimi ... kwa macho tuu, mwenzio tayari long time ago, ni father of six!, mchana umeshapita sasa naelekea jioni!, hapo ni kazi kwenu vijana!.

Siku moja niliwaona wabunge vijana masingle pale Club 94. Halima alikuwa na Esta, na kale kabinti ka Kigoma, huku vijana Nasari na wengine wawili, huwezi amini, japo niliingia mle kusafisha macho tuu, niliishia kuwakodolea tuu macho na ukiwaona hizo dresing zao huko club,,wee acha tuu!.
P.

Ha ha ha ha!kuna msemo ng'ombe azeeki maini mkuu,unaweza ukaamua kuwaachia ulingo vijana ukaona wanazembea ukaamua kurudi mwenyewe ulingoni kuwaonyesha vijana how it suppose to be done!
 
quote_icon.png
By Ritz

Mbunge wangu huyu nilimpigia kura lakini bahati mbaya anakutana na upinzani mkubwa ndani ya chama chake kati yake na Josephine, nani sijui atapitishwa na chama kugombea jimbo la Kawe.
Wanadodi,

Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!.

Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambao timu ya bunge la Tanzania iliibuka kidedea!.

Kwa ref. tuu, Halima Mdee ndie mbunge pekee wa kike wa upinzani iliyeingia bungeni kwa merrits!. Wengine wote "wamebebwa!".

Tuendelee kumsikiliza

Please keep on watching!

Pasco.
halafu masalia wanaanzia chokochoko hapohapo. masalia bwana...!
 
Ha ha ha aaa!Ingawa nilikua nimekuaga....Nahisi jukwaa la siasa limeunganishwa na MMU sasa.
No Mkuu Ben Saanane, high profile politicians kama huyu dada, anything she does ni politics, topic imedeviate kidogo kutokana na weaknesses zetu sisi wengine!. Siwaoni waliosikiliza nondo za amesema nini?!.

Mara ya kwanza kukutana nae face to face, ilikuwa ni uchaguzi mdogo wa Busanda, baadae ule wa Biharamulo, kule kuna vumbi usipime, sasa ukimuona na zile combat na ile beauty na nyele vumbi, anaonekana kama camandoo fulani..

Ngoja nijinyamazee tusizidi kupotea, ila huyu Mbunge Binti, Mhe. Mdee... mimi basi tena, ..wee acha tuu!..
P.
 
Ulimpigia kura wewe gamba!Ritz acha kuchekesha wana jf asubuh hii bwana!

na kweli Ritz anachekesha! laiti Wamisri nao wangelazimisha nambari kwenye kalenda namna Ritz anavyolazimisha hoja, sijui leo hii kalenda ingekuwa na mwonekano upi,
 
Back
Top Bottom