Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,137
- 43,224
Ungekuwa mwanamke ungelinganishwa na wale wa kona bar..we si ukisema umemchagua mnyika mara hii umehamia kawe...acha umangimeza
Mkuu wewe mtoto wa kiume usiwe na tabia za umbea.
Uzuri JF inahifadhi mabandiko ya kila member ukiweka bandika langu ambalo nimesema nimemchagua Mnyika, kuanzia leo najitoa JF.
Usipoweka kuanzia leo nakuweka kwenye kundi la wazadiki wa JF.